BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,131
Tumwamini Mungu awe Mbanga wetu. He can do the impossible If we believe.Hzi za upolisi tu na uhamiaji tunakosa wabanga hizo nyengine mhhh
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
jwtz ajira zao hazitangazwi hadharan hivi,jaman kwa mwenye uelewa kwahyo jwtz wakishachukuliwa military science ndio basi tena hawachukui tena au inakuaje kuna nafasi nyingine zitatangazwa
Print hiyo namba kisha attachTusio na vitambulisho vya nida lakini tuna namba za nida
Kipengele Cha nakala ya namba ya kitambulisho tunakiwekaje?
Hamna kitu kama hichoWakuu kwny hili tangazo la uhamiaji mbona sioni tar waliyotangaza ajira? Usikute kwa interview unaulizwa tar iliyotoka tangazo [emoji23][emoji23]
unanipa vibe mkuu,napakubali sana idaraniAmbao Hamna Kitambulisho Cha NIDA attach kitambulisho chochote either leseni,kitambulisho cha kura au passport then unaprint na NIDA namba yako second option kuna vitambulisho vya NIDA Vinatolewa online pia vinakubalika unaweza kuvisearch then ukaprint uattach.angalizo muwe makini sana kuaatach documents makosa ni mengi sana hasa kwenye wasifu yaani CV Jitahidi kuweka cv zenu vzr copies hakikisha ukiscan inaonekana vzr haiko faint
NB usisahau attachment yoyoye hiyo ni kigezo cha kwanza cha kukupunguza Kila La Kheri Wakuu.Karibuni Idarani
Jenga swali vzrHivi sorry naomba kuuliza kuhusu ajira hizi za jwtz hivi wakishachukuliwa military science wale form six ndio inakuwa ndio bc tena hawachukui tena au kuna nafasi nyingine zitatolewa
Ndugu yangu kigezo kikubwa ni JKT hao uliona wanapiga bila JKT chunguza nguvu iliyoko nyuma yao nawasilishaMbna wapo wanaopiga kozi bila kupita jkt,kikubwa unamjua nani!!.bas ulivo zuzu utaleta ubishi kwny hili
Hahaha kwahyo ukiwa na baka ni rahisi kupata heshimaZikitoka za jeshini mniambie maana mtaani zarau zimezidi
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Jkt ndio kigezo kikuu kabisaNdugu yangu kigezo kikubwa ni JKT hao uliona wanapiga bila JKT chunguza nguvu iliyoko nyuma yao nawasilisha
NB kama hujapita jkt na huna connection nzuri usipoteze muda kuomba
Yani huko mzee dah napaelewa.unanipa vibe mkuu,napakubali sana idarani
Mungu atakujalia siku Moja tutaungana endelea kuatamia ndoto yako usiache maombi piaunanipa vibe mkuu,napakubali sana idarani
Ninaswali kiongoziAmbao Hamna Kitambulisho Cha NIDA attach kitambulisho chochote either leseni,kitambulisho cha kura au passport then unaprint na NIDA namba yako second option kuna vitambulisho vya NIDA Vinatolewa online pia vinakubalika unaweza kuvisearch then ukaprint uattach.angalizo muwe makini sana kuaatach documents makosa ni mengi sana hasa kwenye wasifu yaani CV Jitahidi kuweka cv zenu vzr copies hakikisha ukiscan inaonekana vzr haiko faint
NB usisahau attachment yoyoye hiyo ni kigezo cha kwanza cha kukupunguza Kila La Kheri Wakuu.Karibuni Idarani
Akamalizie Course Mkuu Apate Cheti Ila Sio Mbaya KujaribuNinaswali kiongozi
Nina pacha wangu ana kabachelor ila hakana application maana ni kozi ya mchongo, yaani hata ukimuuliza umesomea nini anashindwa kujujibu.
Sasa ameomba uhamiaji kwa cheti cha form 6.
NA ameandIKa CV kwasababu anajua alama za viziwi ila hana cheti. Hii imekaaje wakuu au ndio kachoma nyasi hapo.
This tym hatapataAkamalizie Course Mkuu Apate Cheti Ila Sio Mbaya Kujaribu
Yaani hizo alama za viziwi sio kama alikuwa anasomea ila alikuwaga anajifunza tu maana shule aliyosoma o level ilikuwa inaviziwi pia.Akamalizie Course Mkuu Apate Cheti Ila Sio Mbaya Kujaribu
Angepata walau kielelezo kutoka idara fulan ingemsaidia Zaid nadhani ila ya mungu mengiYaani hizo alama za viziwi sio kama alikuwa anasomea ila alikuwaga anajifunza tu maana shule aliyosoma o level ilikuwa inaviziwi pia.