Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Tunataman sana kupata info za idarani maana hazionekani kabisa...huku kwingine nature ya mafunzo na mambo mengine tunayajua ila idarani bado tupo weupe ingawa tunapatamani sana.
Natamani Mkuu Ila Muda Uko Limited Sana Ni Mara Chache Sana Kwa Mwezi Nakuwa Huku Kila La Kheri Wote


Angalizo Matapeli Ni Wengi Sana This Time Around Usije Ukalizwa Kizembe

Marry Christmas And Happy New Year.
 
jwtz wanachukua mkuu, wanashule zao mkwawa sec mafinga jkt pale maafisa wengi wao ma kepteni wanafundisha na walikua peace kinoma na sisi mujibu
Ujue sku zote maofisa wanakuwa peace sn tofauti na hawa maaskari,yan hawa askari noma sn kw kazi ka ovyoovyo [emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom