Mwaka huu tutakao toboa tufahamiane..![emoji23][emoji23]Safi sana, tunywe maji moyo uelee , pdf linatuhusu InshaAllah
Ale waaaaaaaAle WIIIIIIIIIIIIII🎤
YanyukweeeAle waaaaaaa
YakoboleweYanyukweee
Kunguru KABEBA DUNIA right now SMG mikononi ,Miguu kwenye mawe kichwa kimechomekwa kwenye jiwe.Mwaka huu tutakao toboa tufahamiane..![emoji23][emoji23]
Kunguru wa Manzese hadi leo kimya, naona depo limenoga!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha azabu mbna ngumu iyo si atatoroka sasaKunguru KABEBA DUNIA right now SMG mikononi ,Miguu kwenye mawe kichwa kimechomekwa kwenye jiwe.
Jasho na kamasi vinatoka kwa pamoja.
Ndio matifu ya vyombo hayo mkuu, push up ni kulivuna jeshiHahaha azabu mbna ngumu iyo si atatoroka sasa
Ninyi vijana wa siku hizi mkoje mbona kutafuta connection ninrahisi sanaLeo nimeenda kwa kamanda polisi mkoa DSM kutuma barua daaahh bado kidogo nimvae ACP mmoja anipambanie
Utapigwa KENGE WA PAKISTANIVijana mna morali kama zote......
Sasa wewe nenda polisi halafu uitwe kuimbisha chenja uimbe "Kaxi ya jeshi ni ngumu, sio kams polisi... Pushapu kwenye godoro..[emoji441][emoji444][emoji445]....
Hapo utatuletea mrjesho nini kitakukuta..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaa... Saa hizi yamelala tuu.... Yanaamka saa 6 usiku.,,[emoji23][emoji23]Kunguru KABEBA DUNIA right now SMG mikononi ,Miguu kwenye mawe kichwa kimechomekwa kwenye jiwe.
Jasho na kamasi vinatoka kwa pamoja.
[emoji2]utajua hujui apo CCPVijana mna morali kama zote......
Sasa wewe nenda polisi halafu uitwe kuimbisha chenja uimbe "Kaxi ya jeshi ni ngumu, sio kams polisi... Pushapu kwenye godoro..[emoji441][emoji444][emoji445]....
Hapo utatuletea mrjesho nini kitakukuta..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidie mkuu , tupe mbinu, tupe connectionNinyi vijana wa siku hizi mkoje mbona kutafuta connection ninrahisi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana mna morali kama zote......
Sasa wewe nenda polisi halafu uitwe kuimbisha chenja uimbe "Kaxi ya jeshi ni ngumu, sio kams polisi... Pushapu kwenye godoro..[emoji441][emoji444][emoji445]....
Hapo utatuletea mrjesho nini kitakukuta..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidie mbinu au connection mkuuNinyi vijana wa siku hizi mkoje mbona kutafuta connection ninrahisi sana
Waziri anaweza asikusaidie chochote kwenye ajira mkuu Kuna watu watu wapo Kati hapa wakawaida Sana ndio wanafanya Kila Kila kitu mkuuUhamiaji ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani waziri wake CCM mwenzie wanakutana bungen....endelea kujifariji.
Form four kiukwel wanachukuliw sana wa makambini kwa polisi.. na umri utakuweka pembeni maana ww kama umesoma had umemaliza degree umri wako utakuw mkubwa. Ila kama una mbanga ombaHivi hizi za polisi kama umesoma mpaka bachelor ila umeamua kuomba na cheti cha form 4 tu imekaaje.? Maana degree nyingine wengine ni za kipimbi, unaona uitupilie mbali.
Hao watu kuwajua ndio mziki, kama unao dondoka pm boss ,Waziri anaweza asikusaidie chochote kwenye ajira mkuu Kuna watu watu wapo Kati hapa wakawaida Sana ndio wanafanya Kila Kila kitu mkuu