Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Madogo walokuwa na 4 za 28, 29, na 30 kwa mwaka jana kwao ilikuwa ni kitonga!! Hsikujalisha kimo hadi wafupi walipata shavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwoga wako ndio umaskini wako

Nimekumbuka mwanangu alifanya hivi hivi ilikuwa mwezi wa sita 2018 kama sikosei

Alivamia mkubwa naye ...yule mkubwa alicheka [emoji3] dogo anajiamini

Akampambania
Daaah!! Kwhyo mim leo ningemvaa tu majaliwa pale Muhimili[emoji24][emoji24]
 
unakutana na mtu anaitwa hatari wa danger coy,au balumwina a.k.a kipele dadeq 835 stak hata kupasikia hata binadamu hamkutani nao[emoji23]
Wew wew usiseme baba pale sehem hapafai!! Koz wanakaza balaaa! Ikiwa shamba mtakoma shamba dunia kwa Msanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipele huyu mwmba ana hatar sn anazimisha kuruti wa jeshi [emoji23][emoji23]
 
Ungajilipua mzee we si umemuona majawaliwa yuko zake fire sahv anakula shushu aya maisha kujilipua tu hujui nani atakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…