Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

we mwamba unavunja watu moyo
 
Deadline ya zima moto ilikuwa tafehe 8 december, wapo mbioni kutoa majina ya interview, huku niliomba ingawa sina vigezo vyotee
 
Ungajilipua mzee we si umemuona majawaliwa yuko zake fire sahv anakula shushu aya maisha kujilipua tu hujui nani atakusaidia
me nlishawah kujilipua kwa mtu mkubwa sana ilikua kipindi watu wanaenda kuripoti oljoro but nlimtafuta muda ndo umeisha But kuna wakuu wana roho nzuri za kusaidia ,nilimpigia simu hanijui hakuniuliza nimepata wapi namba ,aliniambia tuu muda mbona umeisha subir wakati mwingine,nlivomuambia ahsante akanijibu "karibu sana". nikawa namtumia message za "shikamoo mimi ndo yule.... pole na kazi" ili asinisahau anajibu ahsante,ila ameshatafu mwez wa 8[emoji16][emoji17]
 
kuna watu alikua nao kwenye system anaweza wacheki mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…