mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
kwani kiambatanisho B kinahitaji namba ya jkt mkuu??Oy wadau hapa kwny nmba ya jkt najaza ipi,maan kuna nmba yangu na namb ilo juu ya gamba.sas ipi hapo? Au nmba ya kikos
Ndio kuna sehem inahitaji namb ya jkt kakakwani kiambatanisho B kinahitaji namba ya jkt mkuu??
pame andikwaje title yake?Ndio kuna sehem inahitaji namb ya jkt kaka
Ahsnte sn kaka! Bas nlidhan ile ya juu kumbe ni kikos nambForce no
kwani kiambatanisho B kinahitaji namba ya jkt mkuu??
Hii hapa mkuupame andikwaje title yake?
wame updates upya kiambatanisho cha awali hakikua na taarifa hzi. ngoja nitume upya mkuuNdio kuna sehemu unajaza force number ya Jkt na jina la kambi mkuu
Kwhyo hapo ukishajaza unashare kbs then unatuma kw email au siowame updates upya kiambatanisho cha awali hakikua na taarifa hzi. ngoja nitume upya mkuu
nimepakua tyari afsa ngoja nipost upyaaHii hapa mkuuView attachment 2456404
yaahKwhyo hapo ukishajaza unashare kbs then unatuma kw email au sio
Ni sawa tuWadau hvi hzi docs nikiziweka kw pdf moja nikazituma except kiambata B,itakuw nimekosea?
Lonja kali sn.Wadau tuendelee kutunza afya vizuri.
Mtoto wa kiume usikubali kuuza mechi kizembe,Huu si wakati wa kupapatikia mademu wa ajabu.
Intake iliyopita wadau wengi walikua UNFIT kutokana na matatizo kadhaa,Kuna mwamba alikosa nafasi kutokana alikua anatumia bangi na pia kuna baadhi ya mademu walikua wameungua tayari.
(Hawa mademu walikua wanaliwa na maafande kule makambini halafu maafande walikua wameshaungua tayariii).
Pia ukifanikiwa kuingia CCP inatakiwa nidhamu ya hali ya juu,wadau wengi wamefukuzwa kwa kesi mbalimbali kama vile simu na Mapenzi.
Kuna jamaa ile siku ya mwisho ya kumaliza mafunzo,alijichanganya akageuza kofia(zile za polisi) Nyuma mbele,Sasa ubaya wakati amevaa ile kofia vile Maafisa mbalimbali wa jeshi la polisi wakamuona,Kama ujuavyo tena siku ya mahafali maafisa wanakuaga wengi siku ya kumaliza mafunzo.
Basi jamaa[emoji28] akaitwa akaambiwa akavue uniform faster Maana hajaiva kwenye kozi..
CCP ni pale unapoona unapelekwa kwa RPC wako ndio ujue kazi umepata,ila ukiwa pale kambini hata kama ni siku ya mwisho unatakiwa ujichunge.
Nimewaibia lonja[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mkuu mimi ni raia tu wakawaida tena msakatonge kama wewe.Lonja kali sn.
Nlichogundua humu ndani kuna w2 wako vitengo hlf wanatuchora tu team wasakatonge.ila umeshaur k2 kizuri sn mzee Mungu akubarik. Kwa watakaobahatika kufika huko watazingatia haya
Samahan naomba utume hapa hiyo form ya kiambatanisho B ambayo wameupdate , nadhan wengi tulijaza ile ya mwanzo ambayo haikua na sehem ya kujaza namba ya jkt.Ndio kuna sehemu unajaza force number ya Jkt na jina la kambi mkuu
Najua ugumu uliopo me siyo mara ya kwanza kuomba hizi nafasi,ndugu zangu wa 3 walitoboa bila connection hata wao walikuwa hawaamini kabisa . nothing impossible mkuu naona umekazania kutowekana lkn inawezekna kabisa humu jf watu wakatoboa bila connection.We jifariji tu.........
Kwa kifupi vijana punguzeni miteru ili ukikosa usiumie hizi kazi siku hizi ukiomba uwezekano wa kutoboa ni mdogo sana just imagine 3000 Tanzania nzima toa Zanzibar zilizobaki gawa kila mkoa bado njemba za makambini,hapo toa wanawake toa wazee wa baba kanituma bado na ww unaweza ukawa UNFIT hshahaha so tuishi kama ujatuma maombi....Jina likitoka thanks to allmight God ukipigwa ndoige Au peresu peresu unaendelea na mbanga zingine.
Majina yakitoka niko pale mnistue
Nayeyuka
Wale wazee wa kusimamisha minazi tumeonywa,Wadau tuendelee kutunza afya vizuri.
Mtoto wa kiume usikubali kuuza mechi kizembe,Huu si wakati wa kupapatikia mademu wa ajabu.
Intake iliyopita wadau wengi walikua UNFIT kutokana na matatizo kadhaa,Kuna mwamba alikosa nafasi kutokana alikua anatumia bangi na pia kuna baadhi ya mademu walikua wameungua tayari.
(Hawa mademu walikua wanaliwa na maafande kule makambini halafu maafande walikua wameshaungua tayariii).
Pia ukifanikiwa kuingia CCP inatakiwa nidhamu ya hali ya juu,wadau wengi wamefukuzwa kwa kesi mbalimbali kama vile simu na Mapenzi.
Kuna jamaa ile siku ya mwisho ya kumaliza mafunzo,alijichanganya akageuza kofia(zile za polisi) Nyuma mbele,Sasa ubaya wakati amevaa ile kofia vile Maafisa mbalimbali wa jeshi la polisi wakamuona,Kama ujuavyo tena siku ya mahafali maafisa wanakuaga wengi siku ya kumaliza mafunzo.
Basi jamaa[emoji28] akaitwa akaambiwa akavue uniform faster Maana hajaiva kwenye kozi..
CCP ni pale unapoona unapelekwa kwa RPC wako ndio ujue kazi umepata,ila ukiwa pale kambini hata kama ni siku ya mwisho unatakiwa ujichunge.
Nimewaibia lonja[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app