Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Ndugu yangu aliniambia kuna Miamba inaitwa Nsemwa na Mwangosi hao ni shida.Ndio maana nawaambia watakaoenda huko watabadili kabisa mentality waliyonayo kuhusu polisi...tena wakienda porini ndio kabisa mtaelewa kazi. Polisi sio lelemama kama mnavyoaminishwa huko kwingine.
We jamaa kama unawajua hawa ...wewe pot 😂😂😂 makamanda kabisa hawa.Ndugu yangu aliniambia kuna Miamba inaitwa Nsemwa na Mwangosi hao ni shida.
Hapana siko huko,ninaishi karibu na shule ya Polisi,TPS Moshi.We jamaa kama unawajua hawa ...wewe pot [emoji23][emoji23][emoji23] makamanda kabisa hawa.
Wanaa sankuna volunteer lance coplo bora ukitane na bakaka ila sio hao lance coplo wa jkt
Hahahahahahhaa kuacha sku ya intro tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanangu alienda kozi ya komando siku ya intro akaenda kuomba kuacha
Ningekuwa labda nimepata bahati hiyo ya kuchagua kwa upande wangu hapana mkuu nisingeenda huko [emoji3]miezi tisa mingi sana .PT,UT,ZT ukipata kote nakushauri nenda PT.
Vipi masilahi yao na haya majeshi mingine ya miezi sita kuna utofauti ?Polisi mafunzo unapewa ujuzi kabisa,wako na mambo mengi sana,kwata,darasani,silaha nk.
Kulikoni?Oooooyaaaa mozambiqana oyaaaaa mozambiqana oyaaaaa mozambiqana oyyyya[emoji123]
wizara ya mambo ya ndani hkuna jeshi lenye fursa kama immigration hyo ni TRA ndogo mkuuVipi masilahi yao na haya majeshi mingine ya miezi sita kuna utofauti ?
ila range ya mshahara hai vary sana difference ni fursa tuVipi masilahi yao na haya majeshi mingine ya miezi sita kuna utofauti ?
Yanafanana tu.Sema PT vitengo vingi hivyo hela nje nje.Niliwahi kusikia ilikuwa unafanyika utaratibu enzi za Marehemu PT nayo iwe chini ya Ofisi ya Rais kama ilivyo TISS na PCCB sasa sijui mipango imeenda na Marehemu ama bado ipo?Vipi masilahi yao na haya majeshi mingine ya miezi sita kuna utofauti ?
Unaongelea rushwa.PT ina fursa zaidi yaani kupata hela kihalali nje ya mshahara,lindo za benki,mitihani,uchaguzi,misafara,migodini,reli,viwanja vya ndege,bandari nk.wizara ya mambo ya ndani hkuna jeshi lenye fursa kama immigration hyo ni TRA ndogo mkuu
mkuu pt ufananishe na migration kweli ?? au sababu upo chomboni uhalisia immigration ni maji marefu hamuingii kuanzia fursa na mipigo. uhamiaji anapiga anapiga karibia kote work permits, viwanja vyandege,bandarini,usafiri wote wa ardhini kufanya inspection,magodown, ubalozini , IOM Agency plus entry and exit points zote za nchi mkuu. kingine tusibishane ebu fananisha maisha ya afsa polisi na afsa uhamiaji interm of income,expenditure and lifestyle.Unaongelea rushwa.PT ina fursa zaidi yaani kupata hela kihalali nje ya mshahara,lindo za benki,mitihani,uchaguzi,misafara,migodini,reli,viwanja vya ndege,bandari nk.
Mkuu una morali Mungu akusaidie upate tu [emoji123]Oooooyaaaa mozambiqana oyaaaaa mozambiqana oyaaaaa mozambiqana oyyyya[emoji123]
Duuh Kumbe . Halafu miezi sita tuuwizara ya mambo ya ndani hkuna jeshi lenye fursa kama immigration hyo ni TRA ndogo mkuu
Dah pole sana mkuu kwa kupotosha nazani haupo idarani siku zote ukiwa nje ya mfumo unaona walio ndani wanafaidi ingia ndani sasamkuu pt ufananishe na migration kweli ?? au sababu upo chomboni uhalisia immigration ni maji marefu hamuingii kuanzia fursa na mipigo. uhamiaji anapiga anapiga karibia kote work permits, viwanja vyandege,bandarini,usafiri wote wa ardhini kufanya inspection,magodown, ubalozini , IOM Agency plus entry and exit points zote za nchi mkuu. kingine tusibishane ebu fananisha maisha ya afsa polisi na afsa uhamiaji interm of income,expenditure and lifestyle.
Usipende kuongea vitu usivyo vijua mkuu mnapenda sana hadithi za kuadithiwa nakuombea upate uingie mzigoni mkuuwizara ya mambo ya ndani hkuna jeshi lenye fursa kama immigration hyo ni TRA ndogo mkuu
Ni chini ya 100 ndio wanamaliza chiefKamba zinapigwaaa mnoooo chief....nakumbuka walianza tanpol na fire then baadae ndio ikaja magereza....mwsho uhamiaji tena ilikua january
Jando hawaombi kuacha,wanatoroka wenyewe,wanaanza 800 wanaomaliza 250.
Hivi na idarani wana weapon training??🤔🤔🤔Dah pole sana mkuu kwa kupotosha nazani haupo idarani siku zote ukiwa nje ya mfumo unaona walio ndani wanafaidi ingia ndani sasa
Uhamiaji wanaopata fursa zisizo rasmi n wale waliopangiwa mikoa ya mipakani angalau utakuta wanakula na watendaji wa kata ambushi ya kukamata wahamiaji haramu tofauti na hapo aisee hzo fursa ulizotaja sahv n ngumu muno mambo mengi yanafanywa online tena chap
Polisi kwenye fursa zisizo rasmi wako mbele ata apangiwe wapi, hakosi pesa ya mboga