Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Sipo kwenye kazi yoyote ile ya Majeshi hayo Mkuu,naongea kwa uelewa wangu na kupitia kwa wadau walioko huko.mkuu pt ufananishe na migration kweli ?? au sababu upo chomboni uhalisia immigration ni maji marefu hamuingii kuanzia fursa na mipigo. uhamiaji anapiga anapiga karibia kote work permits, viwanja vyandege,bandarini,usafiri wote wa ardhini kufanya inspection,magodown, ubalozini , IOM Agency plus entry and exit points zote za nchi mkuu. kingine tusibishane ebu fananisha maisha ya afsa polisi na afsa uhamiaji interm of income,expenditure and lifestyle.
PT kuna hela kuzidi UT.