mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
unawaza kutoboa mkuu wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unawaza kutoboa mkuu wangu
Mkuu,Green posture ni kitu muhimu sana hususani kwa sisi watoto wa familia za kati.unawaza kutoboa mkuu wangu
absolutelyMkuu,Green posture ni kitu muhimu sana hususani kwa sisi watoto wa familia za kati.
Lakini lengo sio kula rushwa [emoji28] ila ni kuishi maisha yaliyo bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio maana mm sijawahi aplai magereza mkuuMkuu,Green posture ni kitu muhimu sana hususani kwa sisi watoto wa familia za kati.
Lakini lengo sio kula rushwa [emoji28] ila ni kuishi maisha yaliyo bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mkuu hawana opportunity ya kukua kitaaluma na kipato au?ndio maana mm sijawahi aplai magereza mkuu
duuh kushinda na wafungwa mzee baba,kota zao hoi hadi pale tu magufuli alivo waonea huruma kajaribu kuwaboreshea, ukiingia chomboni ukitaka kushift kwingine nimtiti kutoka, mfunga ndio mteja wako akitoroka ama kukuibia silaha unalo. kifupi wizara ya mambo ya ndani jeshi la magereza lipo nyuma ukilinganisha na mengine. ndio maana hata kutoboa pasipo connection ni rahisi ,wanangu kibao wapo hukoo
Aisee kumbeh!!duuh kushinda na wafungwa mzee baba,kota zao hoi hadi pale tu magufuli alivo waonea huruma kajaribu kuwaboreshea, ukiingia chomboni ukitaka kushift kwingine nimtiti kutoka, mfunga ndio mteja wako akitoroka ama kukuibia silaha unalo. kifupi wizara ya mambo ya ndani jeshi la magereza lipo nyuma ukilinganisha na mengine. ndio maana hata kutoboa pasipo connection ni rahisi ,wanangu kibao wapo hukoo
Hamna huwezi ulizwa haya asee. PGO achana nayo kwa sasa. Utafundishwa ukifanikiwa kufika CCP kwenye somo la Police Duties.police general orders
usije ulizwa kirefu na duties za Acp,dci,igp ukabaki unaduwaa mkuu wangu
Wazee wa PGO.Hamna huwezi ulizwa haya asee. PGO achana nayo kwa sasa. Utafundishwa ukifanikiwa kufika CCP kwenye somo la Police Duties.
Usiwe unadanganya watu mkuu, Magereza wamekuwa na nyumba nzuri na Bora kabla hata JPM hajawa President, Kuna nyumba nyingi za majeshi zimejengwa kwa Amri ya Magufuli tuseme nao walionewa huruma?? Japo sikatai kuwa zipo nyumba duni na zinatia hurumaduuh kushinda na wafungwa mzee baba,kota zao hoi hadi pale tu magufuli alivo waonea huruma kajaribu kuwaboreshea, ukiingia chomboni ukitaka kushift kwingine nimtiti kutoka, mfunga ndio mteja wako akitoroka ama kukuibia silaha unalo. kifupi wizara ya mambo ya ndani jeshi la magereza lipo nyuma ukilinganisha na mengine. ndio maana hata kutoboa pasipo connection ni rahisi ,wanangu kibao wapo hukoo
Mkuu SP ndio cheo gani?Usiwe unadanganya watu mkuu, Magereza wamekuwa na nyumba nzuri na Bora kabla hata JPM hajawa President, Kuna nyumba nyingi za majeshi zimejengwa kwa Amri ya Magufuli tuseme nao walionewa huruma?? Japo sikatai kuwa zipo nyumba duni na zinatia huruma
Nimeishi Kotaz Mabatini FFU Mwanza unazijua hizo nyumba kweli?
Nimekaa Polisi Anga Pale Ukonga unazijua nyumba za Pale kuna Full suit za Bati hadi Mbao!!!
Mwisho kabisa Kaka angu wa kwanza kabisa ni Askari Magereza Yupo Hospitali ya jeshi Ukonga
After all sio kila mtu anashinda na Wafungwa japo lazima upewe genge tu hasa unapoanza kazi kuna kazi kama kufungua lindo na ulinzi ni masaa 24 nje na ndani ya Gereza japo baadhi ya lindo ni masaa 8 tu ila kwa siku wanagawa masaa ma4 tu utaingia mara mbili ndani ya masaa 24!!
Rafiki zangu wa3 wameingia huko wakiwa na kidato cha 4 tu wamesoma hadi kufikia Degree na mmoja amemaliza CPA na wote wana vyeo vya SP kwasasa
Issue upelekwe Kambi za kilimo kama mtoto wa Mama kesho unaweza kuacha kazi tena unatoroka tu kama mfungwa!!
Mkuu achana nae bwana mdogo hajakuwa bado anahadithiwa acha aingie mzigoni ndo ataelewaUsiwe unadanganya watu mkuu, Magereza wamekuwa na nyumba nzuri na Bora kabla hata JPM hajawa President, Kuna nyumba nyingi za majeshi zimejengwa kwa Amri ya Magufuli tuseme nao walionewa huruma?? Japo sikatai kuwa zipo nyumba duni na zinatia huruma
Nimeishi Kotaz Mabatini FFU Mwanza unazijua hizo nyumba kweli?
Nimekaa Polisi Anga Pale Ukonga unazijua nyumba za Pale kuna Full suit za Bati hadi Mbao!!!
Mwisho kabisa Kaka angu wa kwanza kabisa ni Askari Magereza Yupo Hospitali ya jeshi Ukonga
After all sio kila mtu anashinda na Wafungwa japo lazima upewe genge tu hasa unapoanza kazi kuna kazi kama kufungua lindo na ulinzi ni masaa 24 nje na ndani ya Gereza japo baadhi ya lindo ni masaa 8 tu ila kwa siku wanagawa masaa ma4 tu utaingia mara mbili ndani ya masaa 24!!
Rafiki zangu wa3 wameingia huko wakiwa na kidato cha 4 tu wamesoma hadi kufikia Degree na mmoja amemaliza CPA na wote wana vyeo vya SP kwasasa
Issue upelekwe Kambi za kilimo kama mtoto wa Mama kesho unaweza kuacha kazi tena unatoroka tu kama mfungwa!!
mkuu hzi kota za magereza ukonga kajenga nani kama sio jpm??Usiwe unadanganya watu mkuu, Magereza wamekuwa na nyumba nzuri na Bora kabla hata JPM hajawa President, Kuna nyumba nyingi za majeshi zimejengwa kwa Amri ya Magufuli tuseme nao walionewa huruma?? Japo sikatai kuwa zipo nyumba duni na zinatia huruma
Nimeishi Kotaz Mabatini FFU Mwanza unazijua hizo nyumba kweli?
Nimekaa Polisi Anga Pale Ukonga unazijua nyumba za Pale kuna Full suit za Bati hadi Mbao!!!
Mwisho kabisa Kaka angu wa kwanza kabisa ni Askari Magereza Yupo Hospitali ya jeshi Ukonga
After all sio kila mtu anashinda na Wafungwa japo lazima upewe genge tu hasa unapoanza kazi kuna kazi kama kufungua lindo na ulinzi ni masaa 24 nje na ndani ya Gereza japo baadhi ya lindo ni masaa 8 tu ila kwa siku wanagawa masaa ma4 tu utaingia mara mbili ndani ya masaa 24!!
Rafiki zangu wa3 wameingia huko wakiwa na kidato cha 4 tu wamesoma hadi kufikia Degree na mmoja amemaliza CPA na wote wana vyeo vya SP kwasasa
Issue upelekwe Kambi za kilimo kama mtoto wa Mama kesho unaweza kuacha kazi tena unatoroka tu kama mfungwa!!
na ulivo linganisha jwtz na uhamiaji ukweli nikwamba jwtz kimshahara ipo ijuu. but huku wizara ya mambo ya ndani utatumia ubishi tu kuupinga ukweli fazagola wao ni uhamiaji.Mkuu achana nae bwana mdogo hajakuwa bado anahadithiwa acha aingie mzigoni ndo ataelewa
UT hakuna kitu my blood brother wote wawil wako huko mmoja ana nyota tatu mwingine ana nyota moja kamaliza course juzi and wote Wana degree za sheria hadi mishahara yao naijua sababu sisi hatufichani tena nakumbuka huyu mwenye nyota moja alijenga ukuta wa melelani wakat yupo Jkt bahati nzuri akapata uhamiaji, JWTZ na kwa wazee wa kaunda yeye akachagua Uhamiaji eti apate unafuuu wa kusoma hadi PHD asjue uhalisia wa mambo ulivo but muda mwingi hadi uaga anasema bora angeenda JWTZ au kwa wazee wa kaunda suti so dogo anaaminishwa na Report ya CAG akajua n wote wanakula mema hayo asjue huenda zimepigwa na mtu mmoja
Nendeni PT Kuna vitengo vingi, and PT wengine wanahamishiwagi hadi idara ya kaunda suti kimya kimya japo wazee wa kaunda nao salary n ya kawaida but Wanaposho nyingi sana hadi unasahau salary
Superintendent Of Prisons
TOC majeshi yote wana deal nazo.Mkuu kweli una mahaba na UT,sasa kama unapenda hizo ishu ingia PT alafu nenda Interpol.naenda afsa wangu kitaa cha moto.ila dream yangu iko uhamiaji ni decent and dream job kwangu itanipa fursa nyingi ikiwemo kukua kielimu zaidi na exposure coz vikao vya nchi za nje nikugusa tu hasa wnao dili na national and transnational organized crimes investigation
mchane mkuuWaambie hao bro zako waache kukudanganya....uyo aliejenga ukuta wa Mirerani na amemaliza course juzi ( unamaanisha waliomaliza tarehe 26 Nov 2022), hiyo nyota moja kapata wapi mkuu?? Au kavalishwa peke yake nyumbani?
Yaani kanidanganya wakati naishi nae, baada ya ukuta walipiga course ya uhamiaji DSM (Miezi minne) then akapangiwa kituo huku tunakoishi akawa yuko plain hana chochote began akapangiwa kitengo cha sheria idarani but Lindo alikuwa anaenda kama Kawa alianza ajira 2020, mwaka huu kamaliza nyota juz kati boma kichaka miba Tanga then unasema kanidanganyaWaambie hao bro zako waache kukudanganya....uyo aliejenga ukuta wa Mirerani na amemaliza course juzi ( unamaanisha waliomaliza tarehe 26 Nov 2022), hiyo nyota moja kapata wapi mkuu?? Au kavalishwa peke yake nyumbani?