Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kaka,Mbona kwenye tangazo lao nimeona watu wenye masters degree nao waapply.

Sasa watalipa scale gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka,Mbona kwenye tangazo lao nimeona watu wenye masters degree nao waapply.

Sasa watalipa scale gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watakuwepo watalipwa kwa degree level tu. Hamna scale kwa masters. Scale ya kielimu kwa sasa PT ni ya degree level tu. Then kuna baadae huko mbele kama ukifanikiwa kupanda vyeo unachagua kama uendelee kulipwa kwa degree yako au ulipwe kwa cheo chako so mshahara utaanza kupanda kwa cheo. Kuna kautaratibu flan hako ila nadhan katarekebishwa tu maana wadau wanaona hakapo sawa.
 
Ka utaratibu gani hako mzee,Em tuibie lonja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tumia kichwa kuelewa mkuu mi nisha shusha fact. janja janja wanakusha na evidence za kimaandazi sijui na shemeji ,dada sijui shangazi yuko UT hana kitu. mkuu wizara ya mambo ya ndani mkuu wao ni immigration tu. hata novermber 15 mwezi uliopita polisi wametoka kulilia nyongeza ya mishahara
 
pt mwezi uliopita mmetoka kulilia nyongeza ya mshahara kuwa ni finyu!! na mwitaji PT anaevimba bila fact aje apinge hapa?
 
Tukiachana na Story za mitaani vijiweni huko kwa Wizara ya Mambo ya ndani PT ndio Top huko hakujali uko tengo lipi au una cheo kipi

Kunakofuata huko kunategemea na niliyotaja huko juu

Kikubwa mshahara upo basi popote kambi!!!
Yaahh... POPOTE KAMBI[emoji108]
 
Hako nilikokaelezea mkuu. Ngoja nijipe morali kwanza.

🎶🎤Mama nipokee, nimechoka zangu na safari.
Nimetoka zangu Msumbiji, na begi langu mgongoni 🎶
Oyaaa Mozambiqanaaaaaaa.....
Oyaaa Mozambiqanaaaaaaa oyaaaaa...
Oyaaaa Mozambicanaaa...oyaaaa Mozambicanaaa oyaaaa......
Na kazi tutapataaaaaaaa.......
Oyaaa Mozambiqanaaaaaaa oyaaaa...











Ka utaratibu gani hako mzee,Em tuibie lonja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo chenja naikubali Sana ndugu zangu me kuwa FFU ndio ndoto yangu [emoji3059][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…