Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna vitengo ambavyo mtakatwa mapema kabisa pale pale CCP watu wa makao makuu watakuja na kuwakata mabogi kwa vitengo kama Intelijensia au FFU na huwa wanabaki kwa ajili ya training before kutawanyika kwenye vituo vyao.

Vitengo vingine huwa viko automatically kutokana na proffession yako na unajijua tangu unaingia CCP maana unakuwa umeshapangwa tayari baada ya kupita usaili. Kwa mfano wale wa Afya kuu, watu wa mambo ya Anga, mambo ya mifugo na kilimo( dogs n horse wanakuwaga huku pia)...watu wa Forensic bureau etc

Afu kuna wale ambao mnakuw mnabaki kama General Duty...ambapo sasa mkienda huko mikoani wakubwa zenu ndio watakupangia ukae wapi...kama traffic au wapi.
Mkuu hivi INTELIJENSIA(TISS) pia wanachaguliwa wakiwa CCP?
 
Yaani kanidanganya wakati naishi nae, baada ya ukuta walipiga course ya uhamiaji DSM (Miezi minne) then akapangiwa kituo huku tunakoishi akawa yuko plain hana chochote began akapangiwa kitengo cha sheria idarani but Lindo alikuwa anaenda kama Kawa alianza ajira 2020, mwaka huu kamaliza nyota juz kati boma kichaka miba Tanga then unasema kanidanganya

Wakati anaanza salary sababu anadegree ya sheria alianza na 940K before makato kipindi Chao engineering na doctors walianza na Million na kitu degree zingine walianza na laki saba na kitu, sheria na IT walianza na 940K tena walikaa kama miezi miwil salary ikawa haiingii

Huyo mwenye nyota tatu ajira yake ya kwanza ilikuwa 2012 yeye kozi alibahatika alikuta utaratibu wa zamani mwenye degree unaunganishiwa nyota alipgia CCP moshi but salary alianza na ndogo kama laki saba na kitu zaman salary zilikuwa ovyo aliunganishiwa na nyota kozi walipga miezi tisa so hzo zingine zimemkuta kazin.

Sasa niambie uongo n upi ? Na n kipi wakijua wew mkuu.
Mkuu me nataka uyo jamaa akubishie ivoivo ili uteme madini ila UT hamna masalahi kulinganisha na PT.
 
Kuna vitengo ambavyo mtakatwa mapema kabisa pale pale CCP watu wa makao makuu watakuja na kuwakata mabogi kwa vitengo kama Intelijensia au FFU na huwa wanabaki kwa ajili ya training before kutawanyika kwenye vituo vyao.

Vitengo vingine huwa viko automatically kutokana na proffession yako na unajijua tangu unaingia CCP maana unakuwa umeshapangwa tayari baada ya kupita usaili. Kwa mfano wale wa Afya kuu, watu wa mambo ya Anga, mambo ya mifugo na kilimo( dogs n horse wanakuwaga huku pia)...watu wa Forensic bureau etc

Afu kuna wale ambao mnakuw mnabaki kama General Duty...ambapo sasa mkienda huko mikoani wakubwa zenu ndio watakupangia ukae wapi...kama traffic au wapi.
na form six je afu inachukua muda gani adi kwenda kusoma?
 
na form six je afu inachukua muda gani adi kwenda kusoma?
Mkitoka mafunzo unakuwa na mkataba wa miaka mitatu kwanza ambayo utakuwa kazini na katika kipindi hiki hutaruhusiwa kuacha majukumu yako ya kazi na kwenda kusoma. Hivyo kama utaamua kusoma kipindi hiki basi unaweza kusoma kimya kimy bila kuathiri majukumu yako ya kazi. Cha msingi ni kusoma kwako kusiathiri majukumu yako ya kazi katika kipindi husika.
 
Nikiingia police naenda kusoma law(sheria) open university kimya kimya then naomba likizo ya mwaka nikapige law school hafu nikishakuwa wakili na muhuri wangu hafu police PGO na katiba Ipo kwa head itajulikana.
Utawaambiaje kwamba umepata degree ktk mazingira gani, maana wanajua umeajiriwa mwaka fulani na umeingia kwa level ya f6 au f4 then unawapelekea cheti cha degree na umemaliza mwaka 2022 wakati wewe umeajiriwa mwaka 2000. Utawaambia umesoma muda gani ukiwa kazini pasipo kupata ruhusa ya kwenda kusoma?

Hii degree hawatoitambua na unaweza usipandishwe level ya mshahara au cheo maana kusoma serikalini inahitaji kupewa ruhusa.

Unaweza ukajila kamanda
 
Mkitoka mafunzo unakuwa na mkataba wa miaka mitatu kwanza ambayo utakuwa kazini na katika kipindi hiki hutaruhusiwa kuacha majukumu yako ya kazi na kwenda kusoma. Hivyo kama utaamua kusoma kipindi hiki basi unaweza kusoma kimya kimy bila kuathiri majukumu yako ya kazi. Cha msingi ni kusoma kwako kusiathiri majukumu yako ya kazi katika kipindi husika.
nipo kuquit chuo uo mchongo ukitiki nipo second yr
 
Mkitoka mafunzo unakuwa na mkataba wa miaka mitatu kwanza ambayo utakuwa kazini na katika kipindi hiki hutaruhusiwa kuacha majukumu yako ya kazi na kwenda kusoma. Hivyo kama utaamua kusoma kipindi hiki basi unaweza kusoma kimya kimy bila kuathiri majukumu yako ya kazi. Cha msingi ni kusoma kwako kusiathiri majukumu yako ya kazi katika kipindi husika.
sasa apo usiombe upangiwe porini ambapo hakuna vyuo😂
 
Utawaambiaje kwamba umepata degree ktk mazingira gani, maana wanajua umeajiriwa mwaka fulani na umeingia kwa level ya f6 au f4 then unawapelekea cheti cha degree na umemaliza mwaka 2022 wakati wewe umeajiriwa mwaka 2000. Utawaambia umesoma muda gani ukiwa kazini pasipo kupata ruhusa ya kwenda kusoma?

Hii degree hawatoitambua na unaweza usipandishwe level ya mshahara au cheo maana kusoma serikalini inahitaji kupewa ruhusa.

Unaweza ukajila kamanda
sidhan kama hii ni sahihi maana wapo wanaoingilia four then wanakuja kuonesha gamba la chuo wakiwa wamemaliza
 
Utawaambiaje kwamba umepata degree ktk mazingira gani, maana wanajua umeajiriwa mwaka fulani na umeingia kwa level ya f6 au f4 then unawapelekea cheti cha degree na umemaliza mwaka 2022 wakati wewe umeajiriwa mwaka 2000. Utawaambia umesoma muda gani ukiwa kazini pasipo kupata ruhusa ya kwenda kusoma?

Hii degree hawatoitambua na unaweza usipandishwe level ya mshahara au cheo maana kusoma serikalini inahitaji kupewa ruhusa.

Unaweza ukajila kamanda
Haipo kihivyo mkuu as long as umepata gamba halal hata kama hukupewa ruhusa. Wapo watu wanasoma open University mkuu na wakimaliza wanapeleka gamba.
NB: Kama hujapewa ruhusa unaweza ukasoma ila elimu yako isiathiri majukumu yako ya kazi y kila siku. Sio unapangiwa kazi unasema nitakuw darasani. Hapo utazinguliwa.
 
Back
Top Bottom