Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hakuna shida mkuu. Unaweza ukasoma hata bila kuwa na ruhusa. Ila utajua mwenyewe utajipangaje na utawapangaje wakubwa zako. Unapoambiw uishi na wakubwa zako vizuri...uelewe kuwa kuna vitu kama hivyo. Ukiishi nao vizuri watakupa majukumu ambayo yatakupa muda wa kusoma pia.
 
Kwahiyo hao INTELIJENSIA wanakuwa ndani ya PT kumbe,kitengo kizuri au hakuna ishu?
Kizuri. Hauvai gwanda . Hutakiw kutambulika kama askari so hata manywele unaweza jifugia tu. Na unaweza pangiwa uwe undercover sehemu fulani. Pamoja na maslahi mengine kama polisi...basi kuna posho ya mavazi..ya kununulia viwalo maana hauvai gwanda...unaliweka tu until itakapotakiw kutumika.
 
Hivi kwa wakati huo Kwa wale waliongia na vyeti vya form wakitoa vyeti vyao vya degree haina shida ?
 
Kitakuwa kitengo kizuri sana,sikuwahi kujua kama kuna hiko kitengo zaidi ya CID.
 
Hili bogi tamu sana ila lina changamoto ya kufa muda wowote ikitokea wabaya wakakujua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…