Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kwa macho yangu bila kuhadithiwa niliona payslip ya askari wa FTS ambaye ana certificate tu anakunja basic ya 700k.

Sent using Jamii Forums mobile app
Misitu hela ipo kuna mwamba alikuwa na certificate akapewa ruhusa ya kwenda kusoma diploma akakataa nikamuuliza why unakataa kwenda kuongeza elimu akasema huo mwaka wa kwenda kusoma hela nyingi zitampita
 
Nimekumbuka HR alipewa juzi kati na Mh Samia
 
Vipi kula kwa route?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…