Mkuu na hizi degree zngne walizohitaji inamaana mkimaliza coz mnatupwa kwenye vitengo vyenu au inakuaje mkuu hapoVitengo rasmi ni huwa baada ya wote kumaliza pori. Ule mwezi mmoja wa maandilizi ya kupass out ndio kuna kuwa na vitengo official. Kabla ya hapo watu huwa wanajiongeza wenyewe tu kupunguza makali ya course. Kwa mfano pale kuna Hospital inahudumia Raia wengi tu so madaktari na wataalamu wa huwa wanasaidia kutoa tiba inakuw kama tengo Lao 😂. Pia watu wa mifugo wanasaidia huko ilipo...mafundi/ maengineers n.k
Six week zinakuaje?Chakula cha jioni ni saa 12 jioni. Ukimaliza kula hapo ni utawala wako binafsi utajua mwenyewe kama utalala au utakuw unafanya nn. Ila saa 6 usiku kuamka siku inaanza. Porini kulala ni saa 4 usiku kuamka saa 11 asubuhi.
HAhaha nimecheka ...kupumzika lazma kuwepo kidogo aiseHuu muda wa kulala upo vizuri sana.
Kiukweli kwenye kozi mchawi usingizi aisee..
Yaani ni bora unipige doso la kutosha ila unipe muda mwingi wa kulala.
Mkuu Dystonia7, Vitengo huanza kugaiwa mwezi wa ngapi tangu mripoti kambini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimu kitengo chao vp?Vitengo rasmi ni huwa baada ya wote kumaliza pori. Ule mwezi mmoja wa maandilizi ya kupass out ndio kuna kuwa na vitengo official. Kabla ya hapo watu huwa wanajiongeza wenyewe tu kupunguza makali ya course. Kwa mfano pale kuna Hospital inahudumia Raia wengi tu so madaktari na wataalamu wa huwa wanasaidia kutoa tiba inakuw kama tengo Lao 😂. Pia watu wa mifugo wanasaidia huko ilipo...mafundi/ maengineers n.k
Mengine tutafahamu tukifika huko chiefMkuu na hizi degree zngne walizohitaji inamaana mkimaliza coz mnatupwa kwenye vitengo vyenu au inakuaje mkuu hapo
Asante mkuuTISS wa PSU na VIP protection huwa ndiyo combat zao hizo
Ujanja wako tu kulink na wahasibu wa huko . Wepesi wako ndio utakusaidia kupata tengoMkuu na sisi watu wa Finance hamna vitengo [emoji28][emoji28]?..
Maana sio poa.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 mpwayungu village asione hiiWalimu kitengo chao vp?
Dah sikuwah ona kwa walimu mkuu....Nadhani sio kila degree inatengo. Kwa kule wataalamu wa afya, ITs, Engineers , mafundi bomba, watu wa records...bendi....wataalamu wa mifugo....ukiwa mwepesi unakamata nafasiWalimu kitengo chao vp?
Mtakesha si zaidi ya wiki mbili. Huwez kumpeleka mtu darasani tena masomo ya sheria utegemee aelewe kama alikuw amekesha.Six week zinakuaje?
na kumbuka Jkt six week zao huwa sio poa...
Huko hamna kufoleni usiku ..
huku nako kuna bawa?[emoji39] alah! [emoji2089]Kwa niaba ya Tanzania Special Forces anawasalimia..View attachment 2461810
Mwendo wa kufarakana tu hapo.Mtakesha si zaidi ya wiki mbili. Huwez kumpeleka mtu darasani tena masomo ya sheria utegemee aelewe kama alikuw amekesha.
Nakubali sana hawa wananguKwa niaba ya Tanzania Special Forces anawasalimia..View attachment 2461810
Hapa tuwekane sawa nature ya majukumu ndii yanayo halalisha uhusika kwenye tuki katika Home affair ni PT tu ndio chombo kinacho wagusa au raia moja kwa moja.Watu wanaongea humu utasema wamepiga depo la CCP na kiwira.
Niwaulize tu lini mliwahi kuona askari magereza yupo operation yoyote mfano ile ya Kibiti au Mtwara?[emoji1]
Ndio mjue sasa PT ni baba lao hata huko CCP mziki wao si wa kitoto. Operation zote za ndani ya nchi hadi nje wanaenda Jw na PT.
Mtu ukikitaka kitengo cha FFU unafanya ujanja gani kukipataDah sikuwah ona kwa walimu mkuu....Nadhani sio kila degree inatengo. Kwa kule wataalamu wa afya, ITs, Engineers , mafundi bomba, watu wa records...bendi....wataalamu wa mifugo....ukiwa mwepesi unakamata nafasi
Unakipaje kitengo cha ffuVitengo rasmi ni huwa baada ya wote kumaliza pori. Ule mwezi mmoja wa maandilizi ya kupass out ndio kuna kuwa na vitengo official. Kabla ya hapo watu huwa wanajiongeza wenyewe tu kupunguza makali ya course. Kwa mfano pale kuna Hospital inahudumia Raia wengi tu so madaktari na wataalamu wa huwa wanasaidia kutoa tiba inakuw kama tengo Lao [emoji23]. Pia watu wa mifugo wanasaidia huko ilipo...mafundi/ maengineers n.k
Chief tofautisha vitengo vya CCp wakati wa mafunzo na vitengo vya kazi mnavyopangiwa baada ya makao makuu kuwaanalyze mwishoni mwa mafunzo.Hapo juu mkuu @Dystonia kaeleza vitengo kipindi cha mafunzo kwa nilivyomuelewa. Hakuna kitengo cha FFU kipindi mafunzo yanaendelea. FFU ni kitengo rasmi cha kazi baada ya mafunzo kuisha.Unakipaje kitengo cha ffu
Fungu Fanta unywe ni Kikosi Maalum uwez jipeleka. Zaid ni wakat mko uwa kuna special team ya ufuatiliaj wao ndio wana assing nani na kwa nini. Fitness yako nidham Utiif n.kUnakipaje kitengo cha ffu
Nilikuwa sijampata apo sasa freshChief tofautisha vitengo vya CCp wakati wa mafunzo na vitengo vya kazi mnavyopangiwa baada ya makao makuu kuwaanalyze mwishoni mwa mafunzo.Hapo juu mkuu @Dystonia kaeleza vitengo kipindi cha mafunzo kwa nilivyomuelewa. Hakuna kitengo cha FFU kipindi mafunzo yanaendelea. FFU ni kitengo rasmi cha kazi baada ya mafunzo kuisha.