Ndo nikwamwambia jamaa akae kwa kutumia maana mambo haya yana mengi sana.Pia ,sio lazima kila mtu apitie jkt ndio maana kuna Jku kwa zanzibar, pia kuna kozi za jeshi usu ambayo ni kama Jkt kupitia mafunzo ya kijeshi na silaha na kozi za porini ambazo huendeshwa ktk vyuo vya askari uhifadhi wanyamapori kama chuo cha kimataifa cha afrika cha uhifadhi wanyamapori & utalii mweka kilichopo moshi na Chuo cha Pasiansi kilichopo mkoani Mwanza ambapo maafisa askari wadogo na wakubwa hupitia mafunzo pamoja na taaluma ktk kipindi chao chote cha taaluma ambapo askari wakufunzi hutoka Jwtz ya Monduli
Kanembwa operation ghani hiyo ilikuwaDadeki kambi za kigoma sio. Nilipita Kanembwa enzi zetu. Tulikuw tunakula scale za hatari sana..hamna cha mujibu wala kujitolea
Nimekuelewa sana mkuu, wakuu hebu tuishi na haya maneno asee tushikane mikono wakubwaGuys hali ni tete sana mtaan, especially kwa tusio na connection kabisa, sasa JF ndo naiona kama connection yangu, ombi langu kwa wenzetu mliopo chomboni tayari kama kuna namna yoyote mnaweza kutushika mkono au kutulengesha kwa mtu anayeweza kuwa msaada plz msisite kufanya hivyo... Maana ni balaa..Asante
Naomba kuwasilisha..
Dah kuna route moja aliiongoza yule mzee wa push up mwamba Janu tulipanda milima asee sitaisahau ile ila nilijipush sana kuwah kufika. Waliochelewa walikula kazi sio poa.Nakumbuka kipindi tupo kwenye mafunzo ya pori kulikuwa hakuna route za msosi yani mkitoka kwenye kipindi ni kurudisha siraha na kwenda messi kupata chakula[emoji1732]
Sasa akatokea mpumbavu akaropoka et jkt tulikuwa tunapassword ya msosi huku polisi hakuna kozi ni kama vile tupo semina aisee kwanza tulipigwa doso la kufa raia afu kesho yake mpk mafunzo ya pori yanaisha ni mbio za milima tu
Yani tulikuwa tunapigwa route ambazo hata jkt hazipo afu ukikosa chakula wao hawajali unaweza shinda njaa siku nzima na hakuna wa kukutetea
Ukiwa mzuri kwenye mbio utabeba hata trey la mkate ya platuni nzima na wengne wanakosa hasa mademu... Unaweza ukawa na hela na isikusaidie porini
Muwe makini sana kuropoka mambo ya jkt mtafanya kozi yenu iwe ngumu bila sababu za msingi.
Afu ukizingatia polisi na wanajeshi huwa siku zote hawapendani huo ndo uhalisia wa mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mimi ni mkongwe...miaka 50 ya muungano enzi hizo 2014 ndio nilipita.Kanembwa operation ghani hiyo ilikuwa
Hahaah bibiye kuna sura nishaoneshwa ntakuwa nazipitia mbali[emoji23][emoji23][emoji23] Utafuliwa we tii tu Kila amri
Mzee mimi ni mkongwe...miaka 50 ya muungano enzi hizo 2014 ndio nilipita.
Nichek mkuu tuwasiliane. Wadau wengi wa OP yetu tulikuw nao course. Nimeona unapenda UT Ila karibu na huku kwetu.Kaka kama ni Kanembwa basi 2014 basi tulikuw wote wakongwe sisi ngoja nikucheki.
Mlima tembo ,mlima maingu ,mlima chokaa, mlima nyani, fisi mlima, mlima range eeeh aisee walitaka kuniuaDah kuna route moja aliiongoza yule mzee wa push up mwamba Janu tulipanda milima asee sitaisahau ile ila nilijipush sana kuwah kufika. Waliochelewa walikula kazi sio poa.
Ukiingia CCP habari za Jkt au kufanya comparison za ajabu na JWtz uziache kabisa yani.
Wewe ndio ukae kwa kutulia unapenda kujiona mjuaji alafu hujui kitu mambo yapo wazi usikaze kichwa nanga mmoja weweNdo nikwamwambia jamaa akae kwa kutumia maana mambo haya yana mengi sana.
Hahahaha 832 KJ [emoji3][emoji3][emoji3]Oyaa hizi pisii mnazikumbukaView attachment 2463239
Walishaanza mdaa, walianzia kule makutopola miez 3-4 cna hakika sana. Sasa hivi wako msataWadau kuna mtu mwenye taarifa kuhusu wale vijana walichokuliwa kitaa kuingia JWTZ kama wameshaanza course? Kuna Mshua nataka nimvae hapa wizara ya ulinzi kama bado hawajaanz course nimlilie 😂
Mzee mimi ni mkongwe...miaka 50 ya muungano enzi hizo 2014 ndio nilipita.
Kwa Kifutu na Nyankundo?Same operation na mm nilikuwa eagle coy pale.
NiPM mzeeSame operation na mm nilikuwa eagle coy pale.
CHief nikiona profile yako hata kabla sijasoma ulichoandika.huwa najua kuna jambo makini hapaKwa Kifutu na Nyankundo?