Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Hahahahahahahahah....HAYA ENDELEA KUBISHANA..nitawataarifu siku tutayoanza safari ya kwenda moshi.
MBN MM TAYARI NIMESHA REPORT CCP NA TUKO KAMA 200 HIVYI TULIOOITWA
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
HARUFU TA WATU KUPIGWA

DOKTA ATAPOOZWA NA LAKI 2


MTAACHWA MATAA[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
 
MrBanks na Twyn naona wana Jambo lao humu ndanii.Wanataka Kuanza kuharibu thread Kwa kutaka kuwatapeli watu
Boss mimi sina njaa kama unavyofikiria hadi nianze kutapeli watu humu ndani, nimetoa taarifa kuhusu kupigiwa simu, mimi nipo kada ya afya, na wenzangu wengi wa kada ya afya wamepigiwa sio tu waliopo dar bali hata waliopo mikoani na maelezo yote ni sawa kureport Hosp ya polisi kilwa road pale kurasin barracks kwa ajili ya interview na vipimo.Sijui kuhusu kada zingine ndio maana nimeongelea kada ya afya.Unaweza ukaamini au ukachagua kutoamini.Binafsi mimi na wenzangu tutaenda hiyo jtatu hapo hosp ya polisi, kama ni utapeli/tumedanganywa tutajua siku hiyohiyo maana kama si kweli basi wataturudisha.Sijajua shida yako hasa ni nini ndugu hadi useme tunataka kutapeli watu.Sisi tumetoa tu taarifa, unaweza ukaipuuzia pia.
 

Point.[emoji1593]
 

Nmekusoma ni kwel .... Afya washapigiwa simu ... Pia nna jamaa zangu wa afya wamepigiwa vile vile simu ..
 
Kwani nani amesema una Njaa...Taarifa si uliambiwa ufatilie www.polisi.go.tz
Au weewe na usomi wako wote unashindwa kujiongezaaaa
 
ILA UKWEL NI KWAMBA WATU WASHAANZA KUPIGIWA SIMU WALIOTUMA MAKAO MAKUU . .. SASA HAIJULIKANI WAMEPIGIA WOTE AU NI KWA KADA MOJA TU YA AFYA
 
Kwani nani amesema una Njaa...Taarifa si uliambiwa ufatilie www.polisi.go.tz
Au weewe na usomi wako wote unashindwa kujiongezaaaa
Acha kukaza kichwa basi mwanetu.

Mbona mwamba kaeleza simple tu, wewe endelea tu kusubiri kuwekewa huko.

Jtatu kuna usaili kweli Kurasini.
 
Inawezekana mkawa wengi sana, na hivyo yale mazingira ya pale hospitali yasitoshe, hivyo mkatakiwa mfanyie mule chuo cha polisi, kurasini.

Sifa wepesi tu, wahi mapema.

Tia unaa askari, kama kitu unakijua basi onesha kweli unakijua na ujibu vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…