Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Fire wanafanyia mkoani?? Sio Dom kweli?

Hizi habari za Dom ukichanganya na maswala ya baba kanituma mtu lazima ukate tamaa kama unaroho ndogo
Hizi ajira za fire za nyuma zilizotoka kwa level ya form 4 walifanyia mkoani . sahivi sijui ndio maana nimeuliza maana bado kuna polisi watu waliomba level ya form 4 nao ajira za nyuma walifanyia usaili mkoani pia


Maana mtu anaweza kusema fire anuani ni ya makao basi usaili ni makao unasahau hata polisi form 4 anuani yao ilikuwa ya makao watu waliotumia


Ndio maana umeona nimewauliza mkuu ni usaili gani ?



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sawa sawa, fire ilikuwa ni form 4 tu. Huenda wataondoa usumbufu wa kuchoma nauli za Dodoma.
 
Watu wanaturusha roho juu, lonja shusha full kama umefanikiwa kuipata wakuu.
 
Ni mdogo majibu yake ni subiri kwanza nikimpigia simu ananambia ntakutafuta ngoja ndo mazima kimya kikali kuna day nikamuandikia essay ndefu sana alaf nkakata mawasiliano..
Daaah ila ndgu wengn wana roho ngumu sn. Nachoamin mzee ana uwezo wa kukuvesha bakabaka sema hajaamua tu,ana cheo kikubwa tu kaka,wapo masajent wanawavesha w2 bakabaka sembuse yeye ndgu yangu
 
Kwa wajuvi nilisikia maafsa ya wa vyombo vya usalama wanapewa nafasi za kuwaweka watu wao wa5 je kuna ukweli?
Hii ishu niliskia kwa majeshi ya wizara ya ndani niliskia kwenye saili za majeshi ya ndani pale kwanza wanaulizana kama una mtu wako kwenye ile kamati ya juu kabisa ya ulinzi yani kamati ya ulinzi mkoa RPO, RPC , wote hadi fire na immagiration hadi mwenyekiti wao RC akiamua kuweka watu anaweka tu



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Daaah ila ndgu wengn wana roho ngumu sn. Nachoamin mzee ana uwezo wa kukuvesha bakabaka sema hajaamua tu,ana cheo kikubwa tu kaka,wapo masajent wanawavesha w2 bakabaka sembuse yeye ndgu yangu
Kama hujui mkuu.
Nirahisi mtu baki kukupigania kuliko ndugu (except mzazi wako).

Undugu wa kiTanzania umekaaga kinafiki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…