Titus3652
Senior Member
- Mar 10, 2019
- 142
- 187
baba mdogo, watu washua wao kabisa wa kuwazaa wapo chombon lkn still wanapambania nafasi ni kumshukuru mungu tu kwa kila kitu mkuuDaaah haya maisha asee sjui baba mdogo sajenti wa jeshi lkn ananiangalia tu mtaani nateatea na kulob lob miaka inaenda, kmkk daah