Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ni hatua ya kwanza kuingia chomboni ila sio kwamba utakuwa na asilimia kubwa ya kupita. Wataitwa wengi tu. Ila wachache ndio wataingia chomboni.
Hta mm nilifanya usaili mwaka jana ila hiyo lonja niloyopewa safari hii
We blaza wewe umeongea na walio fanya usaili mwaka Jana???? Watu wengi hawakupita usaili
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mabio
 
Sahihi mkuu maana kuna muda lazima mjibizane risasi na jambazi ..na ww ndio utawekwa front line
Au umepewa task ya kwenda kumkamata jambazi na hamjui amejipangaje
 
Kuna mwanangu kaambiwa na mbanga wake /connection yake aanze tu mazoez πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…sasa ananiambia naanzaje mazoez wakati hata pdf bado
Hiiyo ndio maana halisi ya watu sasa...ukiwa na watu huwezi ona ugumu wa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…