Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Binafsi Mimi nakutamani sana polisi, nina ujuzi wa kuunda mifumo ya tehama nikipata tengo huko nafanya kwa moyo wangu wote
Mbna wavunjika moyo na PDF bado ndugu yangu ,mungu atabless mbna
 
Hivi ukijipeleka tu CCP mwenyewe hawewezi kukuonea huruma
Ungekuwa unaishi moshi Unajitosa tu kwani watakuua au ?


Hii bongo nyoso we jilipue tu [emoji16] sasa tutajuaje kama inawezekana au haiwezekani kama hapatakuwa na ma legend Kama nyinyi wa kujaribu

Wengine wanavamia mpka wakubwa mitaani au barabarani huko muhuni haelewi kabisa anaomba ashikwe mkono tu



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwasasa watu wana taka tarehe sio ayo mambo mengine
 
Ivi wewe una account Ajira Portal?? Nani kakudanganya online applications vyeti having haja ya kua certified???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…