Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Magereza wana mafunzo magumu kuliko hata hao JW kwenye ukakamavu..sema tu uraiani watu ambao hawajui wanaonaga JW ndio kila kitu na wana matizi magumu
Mhhhhhh ulifanya kozi magereza ukafanya kozi jwtz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaa na watu
Jifunze mambo
Soma vitabu sana
Sikiliza watu
Utajua mambo mengi chief
Ndio walikwambia kozi ya magereza ngumu kuliko kozi ya TPDF??

Kozi ya TPDF ya awali miezi sita wiki sita za kwanza mkesha

Kozi ya pili kutoka Kuwa Trained soldier Hadi kuwa private kuna kozi ya Miezi minne kadiri itakavyompendeza Mkuu wa kozi kuna mkesha mwingine wa wiki sita pia unamuhusu ndio sasa anakuwa Private wa jwtz

Je magereza nao wanafanya hivi???

Huenda tunafananisha visivyofanana
 
Kapelekwa Tanga kuwa OC
..

Alipofika tuu kauli yake ya kwanza ni kuwa, "Yaani oc mpya nimekuja nakuta mmenenepa" kisha kawapiga ruti watu!![emoji23] Jana walikuwa wanang'ong'a tuu!!!
😂😂😂 huyo polisi Tz nzima wanamjua .Polisi wengi sana wamepita chini yake. Pale CCP ndio alikuw mkuu wa Nidhamu na Mkuu wa mafunzo porini. Katoa askari wengi sana ila ndio hivyo umri unaenda kamanda sana yule.
Nilijua wamempandisha kumpa uRPC dah
 
Kapelekwa Tanga kuwa OC
..

Alipofika tuu kauli yake ya kwanza ni kuwa, "Yaani oc mpya nimekuja nakuta mmenenepa" kisha kawapiga ruti watu!![emoji23] Jana walikuwa wanang'ong'a tuu!!!
Na watang'ong' a sana dah ....sema inahitaj wapate mwenye roho ngumu mwingine wa kumreplace kule...maana mafunzo ya pori kule na nidhamu bila kukaza hutoi askari bora.
 
Back
Top Bottom