Kabisa...yule jamaa ni majeshi. Hatasahaulika paleDaah.. kwa hiyo ikitokea tumebahatika kwenda huko tunamkosa kamanda!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa...yule jamaa ni majeshi. Hatasahaulika paleDaah.. kwa hiyo ikitokea tumebahatika kwenda huko tunamkosa kamanda!!!
This day next week majina ya usaili UT yatakuw yametoka .Lonja makamanda
AseeThis day next week majina ya usaili UT yatakuw yametoka .
Lonja ya uhakika hii 😇
Jamaaa ni mtata sanaKapelekwa Tanga kuwa OC
..
Alipofika tuu kauli yake ya kwanza ni kuwa, "Yaani oc mpya nimekuja nakuta mmenenepa" kisha kawapiga ruti watu!![emoji23] Jana walikuwa wanang'ong'a tuu!!!
Kikubwa ni maslah ndugu, kiyoyozi utakitoa ofisini ukipeleke ghetto?View attachment 2470739
Vijana mnataka mkale viyoyozi huku
Kikubwa ni maslah ndugu, kiyoyozi utakitoa ofisini ukipeleke ghetto?
Sasa wanachotofautiana ni nn?? Posho auMaslahi muhimu mkuu...scale za mambo ya ndani ni zile zile tu. Kwenye majeshi scale kubwa utazipata JW tu kaka
Hizo scale wakae nazo sizihitaji mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,mi napenda mazingira ya kazi ya kitengo cha uhamiaji na jinsi kitengo kinavyo fit personality yangu ,kuna kazi inaweza kuwa ngumu kama personal character yako na kazi husika viko opposite .Maslahi muhimu mkuu...scale za mambo ya ndani ni zile zile tu. Kwenye majeshi scale kubwa utazipata JW tu kaka
Tuombe Mungu kaka. Atatusaidia.Hizo scale wakae nazo sizihitaji mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,mi napenda mazingira ya kazi ya kitengo cha uhamiaji na jinsi kitengo kinavyo fit personality yangu ,kuna kazi inaweza kuwa ngumu kama personal character yako na kazi husika viko opposite .
Mungu asaidie tu pdf ya usahili niwemo
hahahahahahahaha mkuu huwaga unanifurahishaga sana asee jamaa wa ikuluJamaa wa ikulu kupost picha yupo uwanja wa ndege sijajua ni uwanja gan ila nimeona neno kama "OLIVA TEMBO airport " sasa ole wake nikose nafasi hizi na aliniambia hata barua nisiandike
[emoji16][emoji16]hahahahahahahaha mkuu huwaga unanifurahishaga sana asee jamaa wa ikulu
Nimesota nae saana na haelewekihahahahahahahaha mkuu huwaga unanifurahishaga sana asee jamaa wa ikulu
kwani intro si inakuwaga baada ya muda Fulani ,huo muda ambao tutaachiwa kabla ya intro nitakula tizi hata jkt nilifanya HV hv,yaani pumzi ilikuwa kisoda Ila baada ya mda niliadapt nikawa hatari Kama mtu wa marathonMkuu anza kula tizi huwezi jua unaweza pita kwenye hatua zote ukaingia chomboni upepo ukakata siku ya intro tu.