Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naomba kuuliza mfano nina mdogo wangu hakupata matokeo mazuri awali kidato cha 4 alipata 0. Akaenda kurudia mtiani na akapata credit 3.

Akajisajili tena kama private candidate na kufanya mtiani na kufaulu vizuri.
Alienda JKT mujibu wa sheria na cheti anacho.

Swali je uyu mtu LEAVING CERTIFICATE atapeleka kipi katika kufanya maombi kama ayoo ya upolisi?
Leaving certificate Hainaga kazi.

Kinatakiwa cheti cha taaluma.
 
Back
Top Bottom