Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ofisi zao tunaziita 'Ofisi za usalama na utambuzi'..
Kazi zao kuu ni kutambua yote yanayoendelea kikosini kila siku na kuyaandalia report, Uandaaji wa vitambulisho vya kazi vya p/staff na vijana makambini, mapokezi ya vijana wanaokuja aidha mujjbu wa sheria au kujitolea na kuwatambua na pia kutambua kwa haraka hali zozote zile zinazohatarisha usalama wa kikosi au wanakikosi na kuzidhibiti.

Kubwa kuliko yote lisilopendwa na wengi ni 'Umbea'....

Wengi wao ukiingia anga zao akikikusanyia ushahidi, unatema mwenge huku unajiona na hivyo kuwa ni kitengo cha kwanza kwa kuchukiwa makambini kikifuatiwa na MP.
Military intelligence ni pana zaidi ya ulivyoielezea mkuu hapo umeeleza kama 5% tu ya hicho kitengo
 
Hapo umekuja kwenye point sasa imekuwa simple nilichokuwa sitaki kukisema hasa Hapo kwenye kukaimu kwa KG (naomba tuishia hapa nisiende mbele zaidi jamaa wa ikulu asije kusema mm ni kiherehere)
Sema Kuna kitu huwa sielew kinanichanganya. Ki protocol mkuu wa majesh (CDF) anatakiwa kumpigia saluti hata mkuu wa wilaya. Sasa Swali langu ni je inapotokea na inatokea mara nyingi sana wakuu wa wilaya na mikoa hasa ya mipakani wanakuaga ni makanali na ma major general wanapokutana na CDF, Je CDF anawapigia saluti?
 
Sema Kuna kitu huwa sielew kinanichanganya. Ki protocol mkuu wa majesh (CDF) anatakiwa kumpigia saluti hata mkuu wa wilaya. Sasa Swali langu ni je inapotokea na inatokea mara nyingi sana wakuu wa wilaya na mikoa hasa ya mipakani wanakuaga ni makanali na ma major general wanapokutana na CDF, Je CDF anawapigia saluti?
Sijui kwa kweli labda ndio maana SASHA Alikataa wasivae gwanda tena

Umefanya nimkumbuke MKISI waha walimuonyesha kazi haswa
 
Back
Top Bottom