Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

JWTZ pekee ndio officer wa kuanzia nyota moja anavalishwa na rais ndio wanaitwa commissioned officers

Lakini nyota za polisi kuanzia Ass. Inspector hadi SSP wanavalishwa na IGP au wakuu wa mikoa tu na ndio hao huitwa gazetted officers

Polisi kuanzia cheo cha ACP ndio huvalishwa nyota na rais na ndio huanza kuitwa commissioned officers ambapo huyo ACP kwa JWTZ ni sawa na Kanali
According to Police Force and Auxiliary Services act, gazetted officer is the one of the rank of ASP and above......
 
JWTZ pekee ndio officer wa kuanzia nyota moja anavalishwa na rais ndio wanaitwa commissioned officers

Lakini nyota za polisi kuanzia Ass. Inspector hadi SSP wanavalishwa na IGP au wakuu wa mikoa tu na ndio hao huitwa gazetted officers

Polisi kuanzia cheo cha ACP ndio huvalishwa nyota na rais na ndio huanza kuitwa commissioned officers ambapo huyo ACP kwa JWTZ ni sawa na Kanali
Hata polisi pia ni the same. IGP huvisha nyota kwa niaba ya Raisi. IGP atapeleka majina ya wanaotakiwa kuvishwa nyota kwa Raisi na Raisi atapitisha. Inabid ujiulize why Non Commissioned Officers( NCOs) vinaishia kwa cheo cha Sergeant Major, means above that all wanakuw acknowledged na kupitishwa na Raisi. Pitia the Police Force and auxiliary services Act wameelezea.
 
Kama miguu haikuwa hivi, basi kozi yako ilikuwa mchelemchele.😃😃
1672742043114.jpg
 
Kiongozi kiuhalisia nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya Polisi na wenzao wote wa mambo ya ndani, kule Monduli maluteni usu kila mwaka huwa wanaapishwa na President tu, na hajawahi tuma mwakilishi 'kwa niaba yake' ni lazima aende yeye mwenyewe

JWTZ hakuna gazetted officers wote kuanzia Luteni usu hadi Generali huitwa commissioned officers

Anyway labda mapolisi wa humu ndani watuambie hapo kwenye masuala ya protocol, kwamba kwa mfano Luteni usu (nyota moja wa jwtz) na ASP (nyota tatu wa polisi) wakikutana, nani ataanza kudondosha Salute kwa mwenzake

Wapo wanaosema hayo ni majeshi tofauti yenye mifumo tofauti, hivyo haina haja ya kupigiana salute, labda wao wenyewe wa mambo ya ndani ndio vyeo vyao viko sawa ila siyo kwa JWTZ

Lakini as far as i know ni kuwa JWTZ ndio jeshi senior na superior kiprotocol, ndio maana hata kwenye mikutano ya viongozi mfano ikulu au bungeni mpangilio wao wa kukaa mara nyingi huwa anaanza CDF, IGP, DGIS, CGP, CGF then CGI, halafu ndio wanafuata hao wa PCCB na DCEA

Hata kipindi cha Magufuli alitaka aanzishe system ya kuteua general officers wa JWTZ kuwa wakuu wa vyombo vya usalama vya mambo ya ndani, mfano alimteua Suleiman Mzee kuwa CGP Magereza ambaye alikuwa ni Major General cheo cha tatu kutoka juu, na tena hiyo ilihesabika ni kama demotion

Wakati kwa magereza cheo cha tatu kutoka juu ni DCP, so maana yake ni kwamba, Major General wa JWTZ na DCP wa Magereza kiprotocol hawako sawa MG ni mkubwa
Nyota moja wa JWTZ anampigia saluti nyota tatu wa Polisi.
 
Kiongozi kiuhalisia nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya Polisi na wenzao wote wa mambo ya ndani, kule Monduli maluteni usu kila mwaka huwa wanaapishwa na President tu, na hajawahi tuma mwakilishi 'kwa niaba yake' ni lazima aende yeye mwenyewe

JWTZ hakuna gazetted officers wote kuanzia Luteni usu hadi Generali huitwa commissioned officers

Anyway labda mapolisi wa humu ndani watuambie hapo kwenye masuala ya protocol, kwamba kwa mfano Luteni usu (nyota moja wa jwtz) na ASP (nyota tatu wa polisi) wakikutana, nani ataanza kudondosha Salute kwa mwenzake

Wapo wanaosema hayo ni majeshi tofauti yenye mifumo tofauti, hivyo haina haja ya kupigiana salute, labda wao wenyewe wa mambo ya ndani ndio vyeo vyao viko sawa ila siyo kwa JWTZ

Lakini as far as i know ni kuwa JWTZ ndio jeshi senior na superior kiprotocol, ndio maana hata kwenye mikutano ya viongozi mfano ikulu au bungeni mpangilio wao wa kukaa mara nyingi huwa anaanza CDF, IGP, DGIS, CGP, CGF then CGI, halafu ndio wanafuata hao wa PCCB na DCEA

Hata kipindi cha Magufuli alitaka aanzishe system ya kuteua general officers wa JWTZ kuwa wakuu wa vyombo vya usalama vya mambo ya ndani, mfano alimteua Suleiman Mzee kuwa CGP Magereza ambaye alikuwa ni Major General cheo cha tatu kutoka juu, na tena hiyo ilihesabika ni kama demotion

Wakati kwa magereza cheo cha tatu kutoka juu ni DCP, so maana yake ni kwamba, Major General wa JWTZ na DCP wa Magereza kiprotocol hawako sawa MG ni mkubwa
Raisi kutokuwepo kwenye mafunzo ya nyota moja haimaanishi kuwa basi hawacommission wote. So kwa kuwa Raisi alienda kwenye mahafali ya askari wa uhamiaji na hakwenda CCP basi askari wa uhamiaji wana hadhi kubwa kuliko wengine? Uwepo wa Raisi sehemu fulani huwa determined na ratiba yake ambayo huwa inapangwa mapema kabisa tangu mwaka unaanza unless yeye mwenyewe ndio avunje.

Nyota moja ya polisi kicheo ina hadhi sawa kabisa na nyota moja ya JWTZ. Haiwezi kuondolewa bila Raisi kuridhia.

Mtafute polisi yoyote hata hawa tu waliotoka juzi tu ccp anayejielewa akufundishe kuhusu " salutation" maana wanafundishwa vizur tu.

Am open for any correction.
 
Raisi kutokuwepo kwenye mafunzo ya nyota moja haimaanishi kuwa basi hawacommission wote. So kwa kuwa Raisi alienda kwenye mahafali ya askari wa uhamiaji na hakwenda CCP basi askari wa uhamiaji wana hadhi kubwa kuliko wengine? Uwepo wa Raisi sehemu fulani huwa determined na ratiba yake ambayo huwa inapangwa mapema kabisa tangu mwaka unaanza unless yeye mwenyewe ndio avunje.

Nyota moja ya polisi kicheo ina hadhi sawa kabisa na nyota moja ya JWTZ. Haiwezi kuondolewa bila Raisi kuridhia.

Mtafute polisi yoyote hata hawa tu waliotoka juzi tu ccp anayejielewa akufundishe kuhusu " salutation" maana wanafundishwa vizur tu.
Kaka mwakani muda kama huu nakuona pale makao makuu Dodoma ukitumikia Jeshi
 
Kiongozi kiuhalisia nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya Polisi na wenzao wote wa mambo ya ndani, kule Monduli maluteni usu kila mwaka huwa wanaapishwa na President tu, na hajawahi tuma mwakilishi 'kwa niaba yake' ni lazima aende yeye mwenyewe

JWTZ hakuna gazetted officers wote kuanzia Luteni usu hadi Generali huitwa commissioned officers

Anyway labda mapolisi wa humu ndani watuambie hapo kwenye masuala ya protocol, kwamba kwa mfano Luteni usu (nyota moja wa jwtz) na ASP (nyota tatu wa polisi) wakikutana, nani ataanza kudondosha Salute kwa mwenzake

Wapo wanaosema hayo ni majeshi tofauti yenye mifumo tofauti, hivyo haina haja ya kupigiana salute, labda wao wenyewe wa mambo ya ndani ndio vyeo vyao viko sawa ila siyo kwa JWTZ

Lakini as far as i know ni kuwa JWTZ ndio jeshi senior na superior kiprotocol, ndio maana hata kwenye mikutano ya viongozi mfano ikulu au bungeni mpangilio wao wa kukaa mara nyingi huwa anaanza CDF, IGP, DGIS, CGP, CGF then CGI, halafu ndio wanafuata hao wa PCCB na DCEA

Hata kipindi cha Magufuli alitaka aanzishe system ya kuteua general officers wa JWTZ kuwa wakuu wa vyombo vya usalama vya mambo ya ndani, mfano alimteua Suleiman Mzee kuwa CGP Magereza ambaye alikuwa ni Major General cheo cha tatu kutoka juu, na tena hiyo ilihesabika ni kama demotion

Wakati kwa magereza cheo cha tatu kutoka juu ni DCP, so maana yake ni kwamba, Major General wa JWTZ na DCP wa Magereza kiprotocol hawako sawa MG ni mkubwa
Unatambua kua Prof Assad hakutakiwa kutolewa nafasi ya CAG ila JPM alimtoa?Sio kila kitu alichokifanya kilikuwa ndan ya utaratibu.
 
Kaka mwakani muda kama huu nakuona pale makao makuu Dodoma ukitumikia Jeshi
Muda kama huu kiongozi kama utakuw umeenda mafunzoni polisi utakuw bado haujatoka. Kuna mabadiliko ya mtaala course mwaka mzima 😂😂 tutajipeleka PT tukikosa kwingine.
 
Muda kama huu kiongozi kama utakuw umeenda mafunzoni polisi utakuw bado haujatoka. Kuna mabadiliko ya mtaala course mwaka mzima 😂😂 tutajipeleka PT tukikosa kwingine.
Chief ww utakua UT hapo makao makuu dodoma..
Zile kotazi wanapoishi askari uhamiaji za dodoma aise ni nzuri balaa..
 
Back
Top Bottom