Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Umeiva hasa mkuu wewe utakuwa chomboni huwezi kunifanyia pande kwa bwana mdogo wangu aje hapo MSATA
 
Ety kama ni rahisi kaifate Angani 😂
 
Haha eti kamuulize Magufuli daah sawa mkuu

Haya majeshi yana seniority lakini

Yani kumfananisha nyota tatu wa JWTZ na nyota tatu wa PT, UT, MT na ZT tunadanganyana asee
Afande samahani mbona tunaona Magufuli huyu huyu katoa watu PT na MT kwemda kuwa CGF kama huyu wasasahivi alikuwa DCP MT ni sawa? Au kwakuwa wote wapo Home Affairs?
 
Hahahahahaha kuruti mdudu wew yeye anapenda kula na kulala tu. Wazee wa kubasti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu Kaloa baada ya dakik 5 anaanza kusinzia,kuruta mdudu
 
Duuuh hyo scale sio mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…