SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 418
- 906
Alafu kwanza Magufuli alimteua Meja Jenerali Mzee kuongoza magereza kama adhabu kwa magereza sababu alisema magereza uozo ulikua mwingi which means under normal circumstances asingefanya ivyo.πππ Unalalamika sana, ebu tuelewane Raisi hawezi kwasababu Hana mamlaka iyo au hawezi kwasababu sio hekima kufanya ivyo??? Nikuelewe kwanza. Maana hata wewe naamini huwezi kutembea uchi mtaani lakini sio kwamba huwezi huna uwezo ni huwezi kwasababu sio hekima. Sasa je Raisi hawezi kufanya ivyo kwa sababu Hana uwezo huo au sio hekima???
Kama Kuna mchongo nijuze tafadhali mkuuNjoo nikupe connection chap usije zeekea mtaani
Ahsante sanaakwa mtu mmoja tu lakin jina lako likionekana pdf ya PT ni pm!
Tupo pamoja mkuu,mungu atabless TU Safari hiiMwamba nakuombea sana upate Kazi awamu hii huwa nawakubali sana wapambanaji kama nyinyi kama yule kunguru wa manzese mwamba alichangamsha sana kula jukwaa la magereza na nilivyosikia kapata nilifurahi sana na alikomaa kama wewe hivihivi sahv anakaza tu!!!
Kaka lazima uende awamu yako hii
Mwamba nakuombea sana upate Kazi awamu hii huwa nawakubali sana wapambanaji kama nyinyi kama yule kunguru wa manzese mwamba alichangamsha sana kula jukwaa la magereza na nilivyosikia kapata nilifurahi sana na alikomaa kama wewe hivihivi sahv anakaza tu!!!
Kaka lazima uende awamu yako hii
Asee inabidi ukasome kwanza Madaraka ya Raisi ndugu, I don't have energy to argue over something that's soo obviousHilo mbona nimeshakujibu kwamba rais hawezi kufanya hivyo sababu hata yeye anajua fika kuwa JWTZ wanaweza kuongoza PT, UT, MT na ZT na si kinyume chake mkuu
πππEti Raisi hawezi, Raisi hawezi??? Raisi aliye mteua Bashiru kua katibu mkuu kiongozi, mtu ambaye hajawahi kua mtumishi wa umma katika serikali alafu Moja kwa Moja akawa katibu mkuu kiongozi ππ, ivi unaposikia Raisi wa Tanzania ni Mungu mtu unadhani ni utani???Hilo mbona nimeshakujibu kwamba rais hawezi kufanya hivyo sababu hata yeye anajua fika kuwa JWTZ wanaweza kuongoza PT, UT, MT na ZT na si kinyume chake mkuu
Ila ndo vizuri mkuu ata na wale tusiojua vitu tupate mwanga alaf pia me naona inapendeza kuwepo mijadala mbalimbali as long as inahusu vyombo vya Usalama vya nchi yetu, Sasa we ulitaka tukae kila siku kuulizia tu lonja vp?, Pdf lini?, CCp kuna iki na iki?, Vp kuripot unatakiwa nini na nini?. Aah asee uzi si utakuw haunogi.Uzi wetu mapolisi na uhamiaji,wanajeshi wamevamia humu wamekuwa wajuaji Sana
[emoji16][emoji16]aya bhanaHapana Mkuu [emoji16][emoji16]
Unamuelewesha mtu ambaye 'anaamini' na sio anayejua!!Ndugu unafurahisha ujue[emoji23][emoji23] kwani let's be honest Major General mzee aliyepelekwa kua kamishina generali wa magereza alikua akitamkwa kwa cheo gani kwanza??? Alikua akitamkwa "Kamishina Jenerali wa Magereza Meja Jenerali Suleimani Mzee". Kumbuka mtu hutambulishwa kwa cheo kikubwa alichofikia mfano mzee mwinyi alishawahi kua makamu wa Raisi na Raisi pia lakini anatambulishwa kama Raisi mstaafu sio makamu wa Raisi mstaafu, hata kwenye taaluma unaweza ukawa ni Engineer pia ukawa Dr kwa maana ya PHD Holder pia ukawa Professor, lakini title kubwa ni Professor na hivyo tutakutambulisha kama Professor. Meja Jenerali Mzee kuwekwa kua Kamishina Jenerali wa Magereza hiyo promotion sio demotion. Inapokua Demotion mara nyingi wana staafu mfano mzuri ni baada ya Raisi Samia kutengua Uteuzi wa Chief of Staff Luten Jenerali Yakubu Muhamedi akapelekwa uturuki ukoo kua Balozi na mwaka Jana aka staafu na CDF mabeyo. Soma kwa namba navyotambulishwa Meja Jenerali Mzee kwenye hiyo picha, huwez mtambulisha mtu kwa cheo kidogo alafu ufuate cheo kikubwa neverView attachment 2477479
Aongezee na kiapo cha JWTZ kinasemaje...!! Pengine anaweza kuachana na hiyo imani.Asee inabidi ukasome kwanza Madaraka ya Raisi ndugu, I don't have energy to argue over something that's soo obvious
Na ni jambo la kawaida sana na endapo utalichukulia kawaida hutopata tabu.Jw kumbe kuna viboko
Hata polisi pia nasikia vipo huko poriNa ni jambo la kawaida sana na endapo utalichukulia kawaida hutopata tabu.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Waache ubinafsi ,watoe nondo watu wanufaikeUZI umechangamka,Ila naamini siku majina yakitoka ya polisi na uhamiaji watu wanaojua mfumo wa mtihan watakuwa wagum Sana kuwapa mwanga wale ambao hawajawahi fanya hizi interview,watakwambia juu juu
UT sifahamu ila PT hakuna mtihan mmoja kwa watu wote. Kila mtu atakuw evaluated katika kada yake unless waje na utaratibu mpya labda.Waache ubinafsi ,watoe nondo watu wanufaike
Maafande watoe ,uzoefu wao kwa pande zote wa UT na PT ili kujiandaa kisaikolojia na kufanya maandalizi yanayohitajika kikamilifuUT sifahamu ila PT hakuna mtihan mmoja kwa watu wote. Kila mtu atakuw evaluated katika kada yake unless waje na utaratibu mpya labda.
Asante mzee baba angalau hapo mtu anapata mwangaUT sifahamu ila PT hakuna mtihan mmoja kwa watu wote. Kila mtu atakuw evaluated katika kada yake unless waje na utaratibu mpya labda.