Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Unazungumzia usaili wa mikoani au huu unaosubiriwa humu ndani (fani)
 
Ishu ni kuwa Mambo yameshakwisha unataka kuyaibuwa tena
 
Kaka kingine nikwambie me kokote Kambi sichagui wapi sijui wapi,japo mara nyingi unaweza pata pale usipotegemea sawa kiongozi wangu,muhimu maisha yasonge me majeshi nayapenda Sana japo siweki asilimia zote ndio mana mana kuna jobs kitaa tunapambana nazo hakuna kinachoniumiza bali comments zako humu ndani zimekaa kibishani siyo kuelimisha wenzio,
 
Mkuu wewe upo chomboni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…