Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Yah!! Nilihisi hivyo pia , ila kama ni mtego, angenikataa , asinge ruhusu maongezi zaidi. Maana kabla alishaniambia napaste reply yake hapa Kwa dodoma tumeshachelewa maana muda wowote mtaitwa kwenye usaili na wa huku Zanzibar nao watatangaza waliochaguliwa kwenye usaili wakati wowote
Unautoto mwingi sana wew dogo
 
Kuna bibi yangu anaconnection headquarter lkn ananiambia we apply tu utapita kma unavigezo ananipa story yake ya kwenda england kuwa hakuwa na connection lkn alitoboa[emoji28][emoji28][emoji28]
Wanachosha Sana watu wa hivo
 
Kuna bibi yangu anaconnection headquarter lkn ananiambia we apply tu utapita kma unavigezo ananipa story yake ya kwenda england kuwa hakuwa na connection lkn alitoboa[emoji28][emoji28][emoji28]
Tena last year baada ya kukosa zile ajira za PT,UT,MP,ZT, aliiniita kuniambia mbna hukuniambia mapema nina watu wangekusaidia ikawa nalaumiwa kwamba nimefanya kosa ningemwambia ningepata akapigiwa mtu mkubwa mmoja nadhani ni RPC au Asp yupo Dodoma Kabisa yule mkubwa aksema kwann hajaomba huku dodoma ningemsaidia angefanikiwa basi akaahidi wakitoa tu tena niombee kwa dodoma.yeye atafanya yake pia bibi aliombwa amtumie soft copy akaye nayo kama akiba ajabu ajira zimetoka ananijibu korahsi we omba tu utapata kwani hata mimi nilienda england bila connection. Kashakuwa kinyonga binadamu bhana wengi hatupendani tumejawa na wivu na unafiki wa hali ya juu.mtu anataka kila siku akuone huko vile vile.majuzi kat kaniita nikamwelekeze mwanaye ishu fulani kama kawaida yangu bibi ni mtani wangu nampiga utani mwingi then namwambia mambo ya connection still ananiambia safari hii utapata kwani hata yeye england alikwenda bila connection .
 
Tena last year baada ya kukosa zile ajira za PT,UT,MP,ZT, aliiniita kuniambia mbna hukuniambia mapema nina watu wangekusaidia ikawa nalaumiwa kwamba nimefanya kosa ningemwambia ningepata akapigiwa mtu mkubwa mmoja nadhani ni RPC au Asp yupo Dodoma Kabisa yule mkubwa aksema kwann hajaomba huku dodoma ningemsaidia angefanikiwa basi akaahidi wakitoa tu tena niombee kwa dodoma.yeye atafanya yake pia bibi aliombwa amtumie soft copy akaye nayo kama akiba ajabu ajira zimetoka ananijibu korahsi we omba tu utapata kwani hata mimi nilienda england bila connection. Kashakuwa kinyonga binadamu bhana wengi hatupendani tumejawa na wivu na unafiki wa hali ya juu.mtu anataka kila siku akuone huko vile vile.majuzi kat kaniita nikamwelekeze mwanaye ishu fulani kama kawaida yangu bibi ni mtani wangu nampiga utani mwingi then namwambia mambo ya connection still ananiambia safari hii utapata kwani hata yeye england alikwenda bila connection .
Mimi sinaga roho kubwa,nikikuona kuwa wewe huna msaada wowote kwenye maisha yangu hasa ndugu waga simchukii,sema namuepuka maana kitakachotokea yeye atakuwa anahitaji msaada Sana kutoka kwangu kwa kifupi Mimi najira kwaajiri yake
 
Mtakaopata PT pambananeni sana muongeze elimu halafu zikitoka nafasi za kimataifa muombe mtakula shavu sana.

Individial police, Formed Police Unit (FPU) hivi ni vikosi kwaajili ya ulinzi wa amani nchi mbali mbali:MONUSCO,MINUSMA..n.k na unaweza kuomba kuhudumu kama polisi asiye na mipaka(interpol) mwisho kabisa kuna nafasi za kwenda kufanya kazi umoja wa mataifa hasa makao makuu au katika matawi yake.Polisi ni kazi ya maana sana tofauti na inavyobezwa, kupitia PT mtapata 'EXPOSURE'.

UJIKO:
#Polisi ni mlinzi wa V.I.P's
#Polisi ni mpiganaji janga lolote la kiulinzi na usalama likitokea nchini,polisi huwa mstari wa mbele kupigania usalama wa raia.Hapa mara nyingi hufanya joint operation wakishikirikiana na JWTZ.

Kiufupi watakaoenda PT watakua wamechagua kazi ya kiume.
 
Back
Top Bottom