Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Utajutia kama hujala msoto wa kitaa jua linavowaka, huna mtaji, plus huna channel yoyote then upate kimungumungu alafu ujutie? ???!!!!!!
hapa unaponiona familia na mpenzi wangu wnanitegemea kama ilivo kwa wengi wetu. nina mjomba yupo huko yemwenyewe hakushauri kuingia MT. na ndio jeshi pekee zoa zoa pasipo conection .omba utapata mkuu halina kona kona
 
Hali ishakuwa mbaya mno siku nyingi ,ni vile bado tu hatujaanza kutengeneza criminal cartels kama za Kule Nigeria au Mexico , hahaaaa mhalifu msomi mwenye masters na Phd ,nenda Lagos ndio utajua , wapo lundo . Mpaka serikali imewainulia mikono , matapeli grade one wapo pale ,mpaka wazungu wa Australia huko wanalizwa na hao miamba ,noma cheki hii
 
mfwende mkuu hebu nipe ya ndani kuhusu MT maana sasa kama hali yenyewe ndo hii umri unaenda bado vyombo vingine vinatupita, , , , , inamaqna magereza hakuna maslahi au ni vp
omba mkuu kuliko kupigika kitaa,ukipata fungua moyo kafanye kazi. wengi humu akiwemo kunguru wa manzese walikuja kukimbilia magereza baada ya kupigika vibaya na majeshi mengine, MT ni last choice kwa watafutaji wa majeshi
 
omba mkuu kuliko kupigika kitaa,ukipata fungua moyo kafanye kazi. wengi humu akiwemo kunguru wa manzese walikuja kukimbilia magereza baada ya kupigika vibaya na majeshi mengine, MT ni last choice kwa watafutaji wa majeshi
Nakuelewa mkuu lakini naona point zako mkuu hazitaki kabisa kwenda huko, kuna nini haswa mkuu ndo nataka kujua unifumbue
 
hapa unaponiona familia na mpenzi wangu wnanitegemea kama ilivo kwa wengi wetu. nina mjomba yupo huko yemwenyewe hakushauri kuingia MT. na ndio jeshi pekee zoa zoa pasipo conection .omba utapata mkuu halina kona kona
Huko ambako yeye anashauri sio pazuri mwambie anifanyie makeke mimi nizameee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…