Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna ma afisa mifugo , afisa kilimo watu wa misitu watu wa afya nakadhalika

Na wote wana application ndani ya jeshi hilo hadi walimu maana wana shule zao


Acheni hizi dharau jamani hili jeshi limebadilishwa kiasi kikubwa

Linajitegemea ,lina miradi na viwanda mbalimbali

Na watu wanasoma vizuri sana
Kilimo
Afya
Uhasibu
Ugavi
TEHAMA/Mawasiliano
Mifugo
Ujenzi
Misitu
Sheria
Ukadiriaji Majengo
Usanifu majengo
Ufundi_Bomba,Uashi,Magari,Nguo,viatu,seremala
Upimaji wa Ardhi
Music
Elimu
Takwimu
Mazingira

Hizi ni baadhi tu ya Fani na zipo ndani ya MT sio kila mtu anahangaika Genge la Wafungwa na mwisho kuwa na genge ni SGT au SSGT kwa baadhi ya maeneo
Genge utahangaika nalo ukiwa Warder/Wardress, CPL na SGT hapa na sio wote maana Genge zina wakongwe wake wakazi kabisa na ndio shughuli zao za kila siku kwenda Bustani,Shambani kiwandani na Hospital kwa mahabusu au Wafungwa wanaolazwa na mahakamani (escort) kwa mikoa wanaofanya huduma za mahakama!!

The rest utapiga shughuli za kawaida tu Ulinzi ndio nyingi na Guard ni masaa ma4 kwa siku unaingia mara mbili!!!

Watu hawana njaa kabisa ila njaa ikikupiga haswa kama Kaka angu ambae ndio kanilea sana huko MT utaona tu sio pabaya!! (Japo Mwanzo aliweka ngumu sana kwenda hadi familia tukamshauri kapigiwa pande huko Tabora 2009 hiyo akavunga et anaumwa macho)


Sahv anachekelea tu Mhasibu huko Gereza moja Kanda ya ziwa ni SP!!
 
Kilimo
Afya
Uhasibu
Ugavi
TEHAMA/Mawasiliano
Mifugo
Ujenzi
Misitu
Sheria
Ukadiriaji Majengo
Usanifu majengo
Ufundi_Bomba,Uashi,Magari,Nguo,viatu,seremala
Upimaji wa Ardhi
Music
Elimu
Takwimu
Mazingira

Hizi ni baadhi tu ya Fani na zipo ndani ya MT sio kila mtu anahangaika Genge la Wafungwa na mwisho kuwa na genge ni SGT au SSGT kwa baadhi ya maeneo
Genge utahangaika nalo ukiwa Warder/Wardress, CPL na SGT hapa na sio wote maana Genge zina wakongwe wake wakazi kabisa na ndio shughuli zao za kila siku kwenda Bustani,Shambani kiwandani na Hospital kwa mahabusu au Wafungwa wanaolazwa na mahakamani (escort) kwa mikoa wanaofanya huduma za mahakama!!

The rest utapiga shughuli za kawaida tu Ulinzi ndio nyingi na Guard ni masaa ma4 kwa siku unaingia mara mbili!!!

Watu hawana njaa kabisa ila njaa ikikupiga haswa kama Kaka angu ambae ndio kanilea sana huko MT utaona tu sio pabaya!! (Japo Mwanzo aliweka ngumu sana kwenda hadi familia tukamshauri kapigiwa pande huko Tabora 2009 hiyo akavunga et anaumwa macho)


Sahv anachekelea tu Mhasibu huko Gereza moja Kanda ya ziwa ni SP!!
Na upandaji wao wa vyeo upoje mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-17-18-44-45-016_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2023-01-17-18-44-45-016_cn.wps.moffice_eng.jpg
    455.7 KB · Views: 14
  • Screenshot_2023-01-17-18-41-52-068_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2023-01-17-18-41-52-068_cn.wps.moffice_eng.jpg
    445.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_2023-01-17-18-41-07-616_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2023-01-17-18-41-07-616_cn.wps.moffice_eng.jpg
    438.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_2023-01-17-19-04-41-555_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2023-01-17-19-04-41-555_cn.wps.moffice_eng.jpg
    459.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_2023-01-17-19-07-31-270_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2023-01-17-19-07-31-270_cn.wps.moffice_eng.jpg
    398.2 KB · Views: 9
  • Screenshot_2023-01-17-19-08-46-191_cn.wps.moffice_eng.jpg
    Screenshot_2023-01-17-19-08-46-191_cn.wps.moffice_eng.jpg
    404.8 KB · Views: 14
Hizo ni kada za kawaida nilimaanisha zile kada za kipekee mkuu

Anyway mimi sijalidharau ila ni kutokana na wenyewe askari wa hilo jeshi wanavyosema, maana nimeishi nao jirani sana Mbeya maaskari pamoja na wachezaji wa timu ya Prisons, baadhi ni washikaji zangu sana

Wanasema labda uwe afisa kidogo afadhali ila kwao hakuna vitengo vingi vya kujiongezea pesa kama Polisi na Uhamiaji kule ni kawaida tu
Haka kajamaa Kila kitu kanajua yeye 😂😂😂 ni kazi sana
 
Back
Top Bottom