Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

KWA wale mtakao fanikiwa kupitia sahili ilobaki mtuunganishe na mbanga zenu kwa sisi ambao hatujabahatika tuanze kuanda mazingira mapema next time zikitoka na sisi tuingie chombon in Sha Allah... but yote kwa yote mungu awatangulie katika mapambano yetu Kwa waliopata nafasi na tumtangulize mungu kwa kila jambo tutafanikiwa in Sha Allah....

Nb: usisahau ulipotoka
 
Hizo lonja za hivyo tuziache kwa Sasa bado ni mapema Sana Kama watakuja tena ni lini? maanake paka watu watakaokwenda kule wamalize mafunzo Sasa km kwa mfano polisi kozi ni miezi 9 au km kweli wamebadili muda wa mafunzo maanake tunazungumza lonja ya mwaka mzima mbele kutokea sasa sawa pengine tunataka kupeana moyo lakini kwa Sasa tuwaze kupambana km next time hiyo fursa ikitokea inshallah itukute kwenye mapambano mengine au pengine tuwaze positive tu si lazima kwa mwaka mzima bado tu uwe unawaza kitu kilkile guys kitu kikibwa Kama vijana let us not give up the fight tuzidi kupambana na fursa mbalimbali zinazokuja mbele yetu yawezekana Kesho wewe ukawa siye wewe tunayekuona hapa Sasa hivi tunavyozungumza ndo Kwanza sahili ziko mbioni paka intake itoke depo pengine inaweza kuwa zaidi ya mwaka Sasa kwanini tupeane lonja za hivi mapema yote hii
Nimesikia lonja watakuja tena sijajua ni UT au PT ila wanakuja tena
 
Kwa
Pambania kombe la JW pia mzee...
JW uraiani labda kwa vigezo special Sana ambavyo makambini havipatikani kwa wepesi lkn makambini Kuna vijana wengi na hata ikitokea kwa kuwa Kuna operation 1 tu vijana wengi wakapata fursa kwenye vyombo vya mambo ya ndani wikihitajika zaidi zipo operation kadhaa za kujitolea walirudi nyumbani nafikiri wao ndio watakaopewa kipaumbele na si raia pure au mujibu wa sheria.
 
Nimesikia lonja watakuja tena sijajua ni UT au PT ila wanakuja tena
Umeskia sahihi

Jwtz watakuja tena kama round mbili au tatu maana idadi iliyoombwa ni kubwa

Wadogo zangu Op Samia kaeni chonjo [emoji16]najua wanajua nazungumzia nini


Na vyombo vya wizara ya ndani vinakuja tena


Daah nikajua watapumzika mama amependelea majeshi safi sana.
 
Kwa

JW uraiani labda kwa vigezo special Sana ambavyo makambini havipatikani kwa wepesi lkn makambini Kuna vijana wengi na hata ikitokea kwa kuwa Kuna operation 1 tu vijana wengi wakapata fursa kwenye vyombo vya mambo ya ndani wikihitajika zaidi zipo operation kadhaa za kujitolea walirudi nyumbani nafikiri wao ndio watakaopewa kipaumbele na si raia pure au mujibu wa sheria.
Sifa mbanga tu wa kukuingiza huko
 
Kwa mtu mmoja ambae Hana mwenyeji DSM atakuja kwenye usaili ambae Hana namna kabisa ya sehemu pa kufikia nitamuaccomodate( malazi) kwa siku zote za usaili anipm ila awe wa kiume na awe tu muungwana.
Naam safi sana tena ingependeza kama mtu unajua unaweza msaidia mtu mmoja mmoja kama hivi mwenyeji wa mkoa husika tungesaidiana.
 
Back
Top Bottom