Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naomb tuwekana sawa kidogo kwani kwa sisi ambao tumeomb kupitia form 4 ni lazima tupigiwe simu au tupate sms mii nacho jua kweny form ya Maelezo wamesm
Waombaji wenye elimu ya kidato cha nne waliowasilisha maombi yao kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa usaili wao utafanyika kwenye Mikoa waliyowasilisha maombi yao.
Saaa apo sijajaju watu hamja elewa nini
Simple answer kwa uhakika zaidi nenda kwenye ofisi ya RPC wako kuhakikisha ukikaa tu bure unasubir kupigiwa simu au sms unaweza kwenda Chaka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naomb tuwekana sawa kidogo kwani kwa sisi ambao tumeomb kupitia form 4 ni lazima tupigiwe simu au tupate sms mii nacho jua kweny form ya Maelezo wamesm
Waombaji wenye elimu ya kidato cha nne waliowasilisha maombi yao kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa usaili wao utafanyika kwenye Mikoa waliyowasilisha maombi yao.
Saaa apo sijajaju watu hamja elewa nini
Upo sahihi kesho usiache kwenda


Kuna mikoa wameambiwa kama unajijua umeomba barua imepitia kwa kamanda wa huo mkoa husika uende



Ukisubiri sms umeumia
 
Simple answer kwa uhakika zaidi nenda kwenye ofisi ya RPC wako kuhakikisha ukikaa tu bure unasubir kupigiwa simu au sms unaweza kwenda Chaka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha sms hao nilioskia mwaka huu waliotuma sana sana wamejitahidi

Na nimesikia usaili utaenda haraka haraka mwaka huu


Aende kwenye mbao za matangazo na akienda kule atakutana na" tangazo wote mliomba mje kwenye usaili " labda waamue wabandike majina
 
Watu wa kada ya afya wanaingia kote kote kwa mfano madaktari wapo ambao watabak afya kuu kuhudumu mahospitali na wengine watakuw forensic huko. Sawa na wataalamu wengine wa kisayansi kama watu wa maabara wapo ambao watapangiwa kuhudumu mahosp wengine watapangiwa maabara za uchunguzi kwenye forensic department.

Forensic ni chaka tamu sana chomboni. Linahusu uchunguzi wa criminal issues kwa njia za kisayansi. Kwa mfano kama mtu amefariki kifo cha kutatanisha, daktari ataitwa kuweza kudetermine the cause of death baada ya uchunguzi either kama mtu alinyongwa, au lah...pamoja na kuchukua samples na wataalamu wengine kuangalia kama sumu zilitumika au vipi.

In short FB ni pana na inahusisha wataalamu wengi sio tu wa kada ya afya...watu wa fingerprinting, wataalamu wa milipuko, wataalamu wa mitandao na cybercrime, ITs and so on....
Nashukuru sana kwa maelezo murua haya kaka. Kwa maana hiyo ninapojiandaa kwa usahili nitegemee maswali ya namna gani kuhusu hii kada yangu ya afya?
 
Uhamiaji bdo bila bila sijapata mkuu aliyepiga pepa yao mwaka jana
Kuna demu niliunganishwa nae ila ananata sana mkuu, kama utahitaji nikupe namba zake Dm, atakupa tips.

Jua vitu vya msingi mkuu
Kuanzia
1.VISION
2. MISSION
3. MOTTO
4.DIFFERENT BETWEEN PASSPORT AND VISA
5. TYPES OF PASSPORT
6. TYPES OF VISA
7. VITU VINAVYOHITAJIKA MTU AKITAKA PASSPORT
8.PASSPORT ZIPI MTU HAWEZ KUJATA ONLINE
9.WHAT IS ELECTRONIC PASSPORT
10.JUA BACKGROUND YA UHAMIAJI
11. NINI UFANYE UKIPOTEZA PASSPORT


UKIFELI HAPO UCHAWI UPO😁(JOKE)
 
Kuna demu niliunganishwa nae ila ananata sana mkuu, kama utahitaji nikupe namba zake Dm, atakupa tips.

Jua vitu vya msingi mkuu
Kuanzia
1.VISION
2. MISSION
3. MOTTO
4.DIFFERENT BETWEEN PASSPORT AND VISA
5. TYPES OF PASSPORT
6. TYPES OF VISA
7. VITU VINAVYOHITAJIKA MTU AKITAKA PASSPORT
8.PASSPORT ZIPI MTU HAWEZ KUJATA ONLINE
9.WHAT IS ELECTRONIC PASSPORT
10.JUA BACKGROUND YA UHAMIAJI
11. NINI UFANYE UKIPOTEZA PASSPORT


UKIFELI HAPO UCHAWI UPO😁(JOKE)
Pia kwa UT pitieni client services charter nina dogo langu anaenda kupiga interview huko kadokezwa apitie na hiyo
 
Kuna demu niliunganishwa nae ila ananata sana mkuu, kama utahitaji nikupe namba zake Dm, atakupa tips.

Jua vitu vya msingi mkuu
Kuanzia
1.VISION
2. MISSION
3. MOTTO
4.DIFFERENT BETWEEN PASSPORT AND VISA
5. TYPES OF PASSPORT
6. TYPES OF VISA
7. VITU VINAVYOHITAJIKA MTU AKITAKA PASSPORT
8.PASSPORT ZIPI MTU HAWEZ KUJATA ONLINE
9.WHAT IS ELECTRONIC PASSPORT
10.JUA BACKGROUND YA UHAMIAJI
11. NINI UFANYE UKIPOTEZA PASSPORT


UKIFELI HAPO UCHAWI UPO[emoji16](JOKE)
Kwa kuongezea akuguseguse na civics kidg
 
Back
Top Bottom