spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Nkikosa ntafika moshi uko najua sitaachwa kama nilivyoKaribu mkuu. Pambanieni Msata huko mkipata nako patamu sana kiongozi.
Ahsante sana Afsa,ubarikiwe.Haya vijana lonja muhimu tumeshawapa. Nawatakia usaili mwema tu. Nitakaa kusubiri update mtakaopita tuwape lonja za kuishi CCP.
Usaili mwema kwa wote, PT na UT.
Mungu awatangulie.
Kijana Mfwende I see u in dark blue uniform. All the best. Let's meet at the top.
Kuna intake inakuja chief ya ccp na UT?? au lonja za kupeana moyo ila wakija ni vizur sanaNingeomba tu ningepata anyway msata kukigoma poti next intake npo Ccp pale
1.Definition ya Forensic science?
2.How do u think ur proffesion can help in solving criminal issues within the police force.
3. Tanzania Forensic Bureau encompasses which proffessions/ experts?( know at least 5)
4. Responsibilities of the Forensic Bureau and the police in general.
Kama umechaguliwa hili chimbo kutoboa chap tu....akili yako tu.
Haya yapo specific kwa watu ambao majina yao yapo forensic huko but some of them u can maneuver them "somehow " and apply them generally.Nahisi hata sisi wahasibu wanaweza leta mtindo huu au unasemaje boss
join UT link tukavamie UT trh 28
Ivi uhamiaji hawakuwa na swala la urefu? Km kigezojoin UT link tukavamie UT trh 28
Huwa hawaweki kabisa, sijui kwanini.Ivi uhamiaji hawakuwa na swala la urefu? Km kigezo
Mzee ebu tupe lonja iliWatu hawaelewi, umakuta mtu yupo Dar au Dodoma eti anahuzunika kutochaguliwa. Kwa wakazi wa Dom na Dar hata kuapply huwa wanajisumbua tu, ni kusubiri tatehe usika ya usaili unatimba na vyeti vyako na kazi unapewa
Urefu wa nn kuangalia passport mkuu..mambo ya kiofisi zaidi kuleHuwa hawaweki kabisa, sijui kwanini.
Usiende Central. Nenda ule upande wa pili ofisi za polisi Mkoa..Jana nilienda Central Arusha hawajabandika majinaa kabsaa km kuna ambaye ametoka leo aniambie km wamebandikA
Mkuu naomba nije PMUrefu wa nn kuangalia passport mkuu..mambo ya kiofisi zaidi kule
KaribuMkuu naomba nije PM
Mkuu siku ya usaili nenda kama muda na pesa unayo. Watu wa Dar hawatumii gharama nyingi kwenye nauli na waliopo Dom kwenye usaili wa uhamiaji pia hawatumii gharama kubwa. Nenda kafanye usaili ndugu, utakuja kunishukuru badeMzee ebu tupe lonja ili
Mkuu hii link mbona haifungukijoin UT link tukavamie UT trh 28
Kaka huwa kuna uhakiki kabla ya kuingia ndani ,kama jina lako halipo kwa wasailiwa inaweza leta shida kidogoMkuu siku ya usaili nenda kama muda na pesa unayo. Watu wa Dar hawatumii gharama nyingi kwenye nauli na waliopo Dom kwenye usaili wa uhamiaji pia hawatumii gharama kubwa. Nenda kafanye usaili ndugu, utakuja kunishukuru bade
Hili swala la urefu wapo serious nalo sanaa mkuu?😅Urefu wa nn kuangalia passport mkuu..mambo ya kiofisi zaidi kule
Acha kuogopa nduguKaka huwa kuna uhakiki kabla ya kuingia ndani ,kama jina lako halipo kwa wasailiwa inaweza leta shida kidogo
Maybe ..Ila kama kuna mtu anajua framework ya usaili anaweza sema huwa wanasailiwaje anaweza kutusaidia vijana wetu mamlukiiAcha kuogopa ndugu