Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania


Hivi PCCB wanachukua kama livyofanya hawa polisi .,vigezo vyao
 

Mkuu TPDF lini inakuja..!
 
Mkuu tupe lonja Vijana....Hali yetu imejawa Na Presha Sana...
 
chlorine gas Lonja tunayosema hapa ni idadi ya Watu Achana na hizo fikra zako za Usaili.Usaili Kwa mtafuta Kazi Yeyote lazima Afanye labda iwe Kazi ya baba Yako au Ndugu Yako.So Usaili ni kitu cha kawaida.....
Usaili unaenda kiongoz ,vijana wajiandae kwenda kunyakua watakaofanikiwa
 
Usaili unaenda kiongoz ,vijana wajiandae kwenda kunyakua watakaofanikiwa

Idadi imeongezwa kwenye upande wa fani sio ile iliokuepo kwenye tangazo kwahio watu wawe na amani matumaini yapo...CO naona wanachukua watu 15 badala ya 7
 
Idadi imeongezwa kwenye upande wa fani sio ile iliokuepo kwenye tangazo kwahio watu wawe na amani matumaini yapo...CO naona wanachukua watu 15 badala ya 7
Fani zilizo ongezwa kwan washaitwa?
 
Idadi imeongezwa kwenye upande wa fani sio ile iliokuepo kwenye tangazo kwahio watu wawe na amani matumaini yapo...CO naona wanachukua watu 15 badala ya 7
Zilizo ongezwa ni wale wa mtaan
 
Mkuu Mbn uhamiaji na magereza hawajataka watu wenye Cheti cha form6???? Na je! JWtz nao sio kama watapitia mfumo huo wa kutotaka wenye form6???
Yani JW bora wawachukue na form six tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…