Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mnaoendelea na usaili wa PT komaeni,mnaotuma maombi MT,UT na ZT kuweni makini na Mungu awatangulie,mnaosubiri Jeshi Senior(TPDF) jipangeni pia hili ni komba komba watu zaidi ya 4000 na mbanga ni Mungu,Cheti cha JKT hasa hasa wale waliojitolea,mnao subiri wazee wa kaunda pale Mbuyuni endeleeni kuomba sana.

Bado kuna PCCB,TAA,KADCO,DEA nao wapo njiani,japo hawa huchukua namba ndogo sana.

Hivi PCCB wanachukua kama livyofanya hawa polisi .,vigezo vyao
 
Mnaoendelea na usaili wa PT komaeni,mnaotuma maombi MT,UT na ZT kuweni makini na Mungu awatangulie,mnaosubiri Jeshi Senior(TPDF) jipangeni pia hili ni komba komba watu zaidi ya 4000 na mbanga ni Mungu,Cheti cha JKT hasa hasa wale waliojitolea,mnao subiri wazee wa kaunda pale Mbuyuni endeleeni kuomba sana.

Bado kuna PCCB,TAA,KADCO,DEA nao wapo njiani,japo hawa huchukua namba ndogo sana.

Mkuu TPDF lini inakuja..!
 
Mnaoendelea na usaili wa PT komaeni,mnaotuma maombi MT,UT na ZT kuweni makini na Mungu awatangulie,mnaosubiri Jeshi Senior(TPDF) jipangeni pia hili ni komba komba watu zaidi ya 4000 na mbanga ni Mungu,Cheti cha JKT hasa hasa wale waliojitolea,mnao subiri wazee wa kaunda pale Mbuyuni endeleeni kuomba sana.

Bado kuna PCCB,TAA,KADCO,DEA nao wapo njiani,japo hawa huchukua namba ndogo sana.
Mkuu tupe lonja Vijana....Hali yetu imejawa Na Presha Sana...
 
chlorine gas Lonja tunayosema hapa ni idadi ya Watu Achana na hizo fikra zako za Usaili.Usaili Kwa mtafuta Kazi Yeyote lazima Afanye labda iwe Kazi ya baba Yako au Ndugu Yako.So Usaili ni kitu cha kawaida.....
Usaili unaenda kiongoz ,vijana wajiandae kwenda kunyakua watakaofanikiwa
 
Usaili unaenda kiongoz ,vijana wajiandae kwenda kunyakua watakaofanikiwa

Idadi imeongezwa kwenye upande wa fani sio ile iliokuepo kwenye tangazo kwahio watu wawe na amani matumaini yapo...CO naona wanachukua watu 15 badala ya 7
 
Idadi imeongezwa kwenye upande wa fani sio ile iliokuepo kwenye tangazo kwahio watu wawe na amani matumaini yapo...CO naona wanachukua watu 15 badala ya 7
Fani zilizo ongezwa kwan washaitwa?
 
Idadi imeongezwa kwenye upande wa fani sio ile iliokuepo kwenye tangazo kwahio watu wawe na amani matumaini yapo...CO naona wanachukua watu 15 badala ya 7
Zilizo ongezwa ni wale wa mtaan
 
😳😳😳😳

20210930_081056.jpg
 
Back
Top Bottom