methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
Yaan anaenda J K T kwa umri huo au sijaelewa vzr mkuu....na kama anaenda kwa umri huo pengine yuko na elimu ya juu au ana maelekezo maalumu yaan uhakika wa nafasiKuna jamaa huku Ana 26 na ndo kwanza anaenda jenga taifa sasa hii wakuu ipojee haitamletea shda??
Ndio Ana elimu ya juu mkuu sasa vip apoYaan anaenda J K T kwa umri huo au sijaelewa vzr mkuu....na kama anaenda kwa umri huo pengine yuko na elimu ya juu au ana maelekezo maalumu yaan uhakika wa nafasi
Eeeh ni sawa tu sema hapo mkataba miaka 2 kuna kuongezwa jumlisha miaka yake.....sio mbaya lkn kama atakuwa na mbangaNdio Ana elimu ya juu mkuu sasa vip apo
Sawa mkuuEeeh ni sawa tu sema hapo mkataba miaka 2 kuna kuongezwa jumlisha miaka yake.....sio mbaya lkn kama atakuwa na mbanga
Sio mbaya lkn mkuu acha ajaribu huwezi jua atatokea wapKitaa kigumu anasema anatak kufight na huko but ndo kwa ngaz ya degree huenda 2024 wakarudi tena hawa jamaa
Inabd kuanza kuangalia na maisha mengine mkuu. Sio lazima majeshi tu kakaLife linazidi kuwa gumu, umri unaenda, ajira za majeshi zinanipita, mibanga nayo naikosa.....daaaah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sio lonja taarifa ishapitishwa na ilishasambazwa kiofisi.bado mzee kwa sasa hizo ni ronja tuu hamna kozi ya awali ya kijeshi ya miezi 12
Nimekuelewa mkuuInabd kuanza kuangalia na maisha mengine mkuu. Sio lazima majeshi tu kaka
Habari ndio hiyo. Ndio mtaala mpya wa course utaenda hivyo.Kwamba PT wanaenda kupiga kozi mwaka mzima au
Duuuh mbona kitaumana aseee....hapo ndo unaondoka kitaaa unaiacha manzi yako....mpk uje urud wahuni washafanya msosi.....mwaka mzimaSio lonja taarifa ishapitishwa na ilishasambazwa kiofisi.
Recruit 1 year
Corporal 3 months na sergeant
Nyota 9 months.
Wafatilie wakubwa zako PT watakupa inside information hiyo
Hata ingekuw miezi 9 ile ile bado ni mingi..so kama una mtu wako kitaa usimuhesabie kama mambo yatabak kuwa kama mwanzo😂😂😂Duuuh mbona kitaumana aseee....hapo ndo unaondoka kitaaa unaiacha manzi yako....mpk uje urud wahuni washafanya msosi.....mwaka mzima
Duuuuh sasa kwann imekuwa hvyo....watu hawana nidhamu au imekuwajeHabari ndio hiyo. Ndio mtaala mpya wa course utaenda hivyo.
we falla unawivu kama mimiiDuuuh mbona kitaumana aseee....hapo ndo unaondoka kitaaa unaiacha manzi yako....mpk uje urud wahuni washafanya msosi.....mwaka mzima
Kiongozi JW vp mbona kimya?Hata ingekuw miezi 9 ile ile bado ni mingi..so kama una mtu wako kitaa usimuhesabie kama mambo yatabak kuwa kama mwanzo[emoji23][emoji23][emoji23]
Upo sahihi kuna mabadiliko kweli. Madogo watakapita wakakaze kweli kweli maada muda ukiwa mrefu zaidi kuna kuchoka pia na kupelekea kufanya makosa ya kipuuzi. Najua tu wapo weng watazingua tu on the way...hawakosekani ingawa hatuombei hivyo.Sio lonja taarifa ishapitishwa na ilishasambazwa kiofisi.
Recruit 1 year
Corporal 3 months na sergeant
Nyota 9 months.
Wafatilie wakubwa zako PT watakupa inside information hiyo
Kaka nazungumza ukweli ujue, hizi mambo hz zitatuua kaka, , , , yaani mwaka mzima daaah sio poa ujue kaka.😆we falla unawivu kama mimii
Unataka wakutangazie kazi on public mkuu? Huu utaribu umeona wanaufanya miaka ya karibuni?Kiongozi JW vp mbona kimya?
Daaaah ni hatareee mkuu kama ni hvyoUpo sahihi kuna mabadiliko kweli. Madogo watakapita wakakaze kweli kweli maada muda ukiwa mrefu zaidi kuna kuchoka pia na kupelekea kufanya makosa ya kipuuzi. Najua tu wapo weng watazingua tu on the way...hawakosekani ingawa hatuombei hivyo.
Kuna wenye lonja za ndanindani uko kaka tujue nini kinaendelea kama tuzidi kutafuta mibanga au tunyooshe mikono juuUnataka wakutangazie kazi on public mkuu? Huu utaribu umeona wanaufanya miaka ya karibuni?