mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Mbona kawaida hio 800k Kwan bodi wanachukua asilimia ngap hapo...Hakuna kitu kama hivi. Degree afu una mkopo..ulipwe hiyo basic . Heslb waje wakate utabakiwa na hiyo pesa? No way it doesn't make sense.NI UONGO
Kwa salary ya laki 8 na una mkopo hespb..take home ni 540k bila makato ya bimaMbona kawaida hio 800k Kwan bodi wanachukua asilimia ngap hapo...
Pesa iko fair hapo...unaweza kukuta unabak na 600k
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu 540k kwa mwezi na una degree kuna kufanya jambo la maana kweli mjini apa au ndo ilimradi siku ziende tu ila TPDF wale jamaa kwenye salary sio poa private tu salary anayokunja kwa mwezi sio poaKwa salary ya laki 8 na una mkopo hespb..take home ni 540k bila makato ya bima
...kwa wizara ya mambo ya ndani wana allowance kila katikati ya mwezi 300k
Msipotoshane......basic ni 830k then toa asilimia15 ya loan board,kisha toa kodi na pssf(75000+41000)Embu tuwekana sawa hapa kama mwalimu anapewa 700k na anakatwa mkopo na kila kitu anachukua 500k+, inakuwaje wa 800k plus nae achukue 500k +.
Nampotasha nani mkuu maana ulivo ni quote ni kama napotosha watu humu, embu soma vizur maelezo yangu nimeuliza swali.Msipotoshane......basic ni 830k then toa asilimia15 ya loan board,kisha toa kodi na pssf(75000+41000)
Jibu utakalopata ndio take home zao....
OK sawa..Nampotasha nani mkuu maana ulivo ni quote ni kama napotosha watu humu, embu soma vizur maelezo yangu nimeuliza swali.
HAKUNA KITU KAMA HICHO.....Ila kuhusu private nasikia wanakunja kitu kama mia 7 au 8 hv kwa mwezi, hapo bdo posho, ration
Hiyo 26 ni ya kwenye vyeti au ya mtaani?Kuna jamaa huku Ana 26 na ndo kwanza anaenda jenga taifa sasa hii wakuu ipojee haitamletea shda??
Unaweza nisahihisha mkuu maana nimeandika lkn sina uhakikaHAKUNA KITU KAMA HICHO.....
Private wa kule take home yao haizid 550k,then jumlisha na hizo posho posho,tena wao ration ya chakula 300k wanalipa yote kwa mzabuni cash....Unaweza nisahihisha mkuu maana nimeandika lkn sina uhakika
Wale jamaa scale yao nzuri tofaut hawa wizara ya mambo ya ndani, shida hzo nafasi kupata ngumu zinawenyewe wazitoHapana
Takukuru , hawa ndio matapeli na wababaishaji wakubwa , ni aibu chombo muhimu na nyeti takukuru wanajihusisha na mambo ya ovyo sana kama walivyofanya mwaka janaDcea,takukuru,magereza na polisi zimeundiwa tume maalumu kutathmini ufanisi na utendaji wao maana imeonekana hawako fair kiutendaji so hii inaweza wapa uoga na wakawa fair safari hii kwenye ajira wakuu
Ndio maana wanalipwaga vizuri Sanahapana mkuu hawa ni ofisi ya raisi pamoja na Tiss