mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Dcea,takukuru,magereza na polisi zimeundiwa tume maalumu kutathmini ufanisi na utendaji wao maana imeonekana hawako fair kiutendaji so hii inaweza wapa uoga na wakawa fair safari hii kwenye ajira wakuu