Na zaidiHivi wakuu kozi za mambo ya ndani mfano kama vile kozi ya polisi nazo huwa na mkesha six weeks?
Alikuwepo ndio.Tulikua nae domu ,kwenye usahili?
Hakuna cha six week mambo ya ndani....by saa4 tuu mnaendalala....Hivi wakuu kozi za mambo ya ndani mfano kama vile kozi ya polisi nazo huwa na mkesha six weeks?
Unaexperience hiyo au unasema tu
Hiii ndo ukweli.Hakuna cha six week mambo ya ndani....by saa4 tuu mnaendalala....
Ila mnaamka saa8 au9 alfajir mchakamchaka
TENA KWA JESHI LA MAGEREZA MTAAMKA MCHAKAMCHAKA SAA 8 AU TISA KUANZIA MNARIPOTI KAMBINI HADI SIKU MOJA KABLA YA KUAPAHakuna cha six week mambo ya ndani....by saa4 tuu mnaendalala....
Ila mnaamka saa8 au9 alfajir mchakamchaka
mkuu una info na majeshi yote !?TENA KWA JESHI LA MAGEREZA MTAAMKA MCHAKAMCHAKA SAA 8 AU TISA KUANZIA MNARIPOTI KAMBINI HADI SIKU MOJA KABLA YA KUAPA
Ndio maana jana nlisema hapo juu username hizi msizichukulie rahisi,humu jf kuna watu tofauti tofautimkuu una info na majeshi yote !?
information zako ni controversial sana mkuu,lazima mtu atakudauti tuNdio maana jana nlisema hapo juu username hizi msizichukulie rahisi,humu jf kuna watu tofauti tofauti
Na ukiwa mdadisi na mkarimu humu humu unaweza ukapata connection [emoji23]..
Sema ukisema hivyo wadau wanadhan nataka watu waje DM ili niwapige hela...
Mimi ata sitaki mtu aje DM ,najaribu kushare mawazo
Sawa hakuna shidainformation zako ni controversial sana mkuu,lazima mtu atakudauti tu
Ndio ninazo...lakini usijeDM [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu una info na majeshi yote !?
Saidia pia kama unaweza mkuu.Mwaka jana kuna mtu humu jf alikua anajiita mrgeneous amesaidia watu wengi sana kuvaa kivazi...
Una... maelekezo mazito kijana....next week...Mambo yatajibu...Ndio maana jana nlisema hapo juu username hizi msizichukulie rahisi,humu jf kuna watu tofauti tofauti
Na ukiwa mdadisi na mkarimu humu humu unaweza ukapata connection [emoji23]..
Sema ukisema hivyo wadau wanadhan nataka watu waje DM ili niwapige hela...
Mimi ata sitaki mtu aje DM ,najaribu kushare mawazo tuu
Mpaka sahiz tumechelewa,maana PDF mda wowoteMwaka jana kuna mtu humu jf alikua anajiita mrgeneous amesaidia watu wengi sana kuvaa kivazi...
Mzigo uhakika nini??iv ikitokea umechaguliwa kwenda cpp utaratibu huwa unakuaje kama ulituma maombi kwa kigezo cha form 4
Mzigo uhakika nini??