Ahaaah nilitaka kufanya QT ili nibadilishe majina, nikarudie kidato cha nne maana hii digri ya physics (bsc in physics) haijaniwezesha kujiunga na kuwa askari JW. Ili badae nisake gamba jipya la kuzaliwa nishushe umri kisawasawa kwa kadri ya hawa wanangu wa "Juliet Whiskey Tango Zulu" wanavyotaka, ili badae nikajitolee kule "Juliet Kilo Tango" ili wakija tuu kufanya usaili basi niibuke nao yani niwe nimewakamata na wasiwe na pa kuchomokea wasinitanie .... lakini basi kama hilo gamba la utaifa itakuwa shida basi ngoja niwe mpole japo ntaumia maisha yote *****Badili umri tu Mambo ya nida achana nayo usiguse kikubwa uzame jakata
Hahahha[emoji23][emoji23][emoji23] kuna rafiki yangu UT aliandaa hadi pesa ya bima, vipimo, matumizi nk... Kaambulia ndoige [emoji15]
Hao ndio watu wema na huwa wanazidi kubarikiwaMwaka jana kuna mtu humu jf alikua anajiita mrgeneous amesaidia watu wengi sana kuvaa kivazi...
Mzee aise acha tu namimi napenda kupiga doria sana au guard uskuIkitokea naenda tuu, maana hakuna namna. Ili mradi niwe nalinda usiku, kupiga kwata kwa unaa mkubwa, kombati ya jeshi niwe naitupia kwa mwili ile imenyooshwa kwa pasi mpaka nzi anakatika akijichanganya ! Buti inang'ara kama kioo ....kidevu kiwe kipara kichwani kuwe na upara, kila siku mabio mazoezi ya kukata na shoka, niwe napiga Combat karatee balaa niwe napambana na adui kwa silaha ile kama vitani hiviii .... na kupata raha zingine za kijeshi kama hizo, ndio nafsi yangu itaridhika na siku hiyo ntamshukuru sana mwenyezi Mungu ikitokea.
Kweli man kua na pesa ndio furahaKama unauwezo wa kuzipata hela mtaani...nakushauri weka nguvu kwenye kutafuta pesa.
Pole sana kwakeHahahha
Huwa Ni burudani sanaMzee aise acha tu namimi napenda kupiga doria sana au guard usku
PT....pdf..next weekPdf wanatoa lini Hawa PT
Kuwa na subira mkuu....week ijayo uhakika..Pdf wanatoa lini Hawa PT
Koo aandae tu nauli sioKuwa na subira mkuu....week ijayo uhakika..
Hahahah kwa mkeka ulee awe tayari kwa lolotee [emoji23]Koo aandae tu nauli sio
Umeuona niniHahahah kwa mkeka ulee awe tayari kwa lolotee [emoji23]
Ndio hivyo ukikuta hamna sio rizk angalia mambo mengineHahahah kwa mkeka ulee awe tayari kwa lolotee [emoji23]
Kwa nyomi lile la DPA lzm mtu ujiandae kisaikolojia tuHahahah kwa mkeka ulee awe tayari kwa lolotee [emoji23]
Nauli na raba za jogging [emoji23][emoji23][emoji119]Koo aandae tu nauli sio