Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

[emoji120]
Sasa ulikuwa unaficha nini ?,wadau wamekuuliza ufunguke humu reason ya hao watu kwenda kufanya usahili kimyakimya we unaleta mauza uza hapa na kona kona , wabongo bana.
Unaficha obvious reason ? Ya rushwa na nepotism ,wakati hiyo inajulikana ipo ndani ya damu ya mbongo?
 
MOSHI UFUNDI mkuu maisha ya dar yana mambo mengi sana, lkn ukiwa mjanja na kufanya vitu vya halali au biashara ya halali bhas unaweza kutoboa, kwa hyo mili 2 yako mkuu kuna vitu vya kujiuliza sana kabla hujafika huku
 
MOSHI UFUNDI kabla hujafika huku jiulize mambo yafuatayo
Kwa kuwa unakuja kuanza maisha inamaana hauna pa kufikia, ndugu, jmaaa wala rafiki,
Na kama hauna itakulazimu upange na kununu mahitaji ya chumba, na kulipa kodi,
Kutafuta ni biashara gani itakayokufaaa na kuendesha maisha yako ya kila siku,

Kumbuka hyo ml 2 ni lazima uigawe nyingine kwenye kodi, na vitu vya ndani, inayobaki iwe ya mtaji wa biashara
 
MOSHI UFUNDI kabla hujafika huku jiulize mambo yafuatayo
Kwa kuwa unakuja kuanza maisha inamaana hauna pa kufikia, ndugu, jmaaa wala rafiki,
Na kama hauna itakulazimu upange na kununu mahitaji ya chumba, na kulipa kodi,
Kutafuta ni biashara gani itakayokufaaa na kuendesha maisha yako ya kila siku,

Kumbuka hyo ml 2 ni lazima uigawe nyingine kwenye kodi, na vitu vya ndani, inayobaki iwe ya mtaji wa biashara
Nimekuelewa mkuu,,, ila hiyo mil 2 ni kwa ajili ya biashara tu. Maswala ya kodi na maradhi nina fungu lake
 
Ila mungu ni wetu sote na hatujui anatuepusha na nini.....hv MT wanachoringia ni kitu gani, hv kweli mtu kuzidi mwaka mmoja mbele au miwili mbele ni kweli kwamba hawezi kupiga kozi au kuna sababu nyingine tu........mungu anasikia kilio cha wengi
 
Kama mujibu hawawataki, haya hao wa kujitolea waliozidi umri mwaka mmoja au miwili mbele bado hawawataki, haya division 1, 2, 3 bado pia hawazitaki......sasa MT wanahitaji watu wa namna gani
 
Walio mqkambini ambao hawana cheki cha jakata, bado pia hawawataki.....hv nini kinaendelea kwenye hz hajira
 
Jeshi la Polisi Nchini linamshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha utaratibu katika mafunzo ya Jeshi hilo kwa kuwawezesha vitendea kazi ikiwa nipamoja na kuondoa makato ya fedha ya chakula kwa askari walioko mafunzoni katika vyuo mbalimbali vya Jeshi hilo.

Hayo ya mesemwa leo march 01 2023 na Kamishina wa opereshi na mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Awadhi Juma Haji alipokuwa akiongea na wanafunzi wa kozi ya uofisa na mkaguzi msaidizi wa Polisi katika chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam ambapo amebainisha kuwa hapo awali kulikuwa na utaratibu wa askari kukatwa fedha anapokuwa mafunzoni.

Aidha Kamishina Awadhi amewataka askari hao kujitoa kikamilifu katika mafunzo hayo kwa kupokea mafunzo yanayotolewa na walimu ndani ya darasa na katika medani za kivita ili kutimiza adhima ya amiri Jeshi ya kujenga mazingira rafiki katika kozi za Jeshi hilo.
 
Ila mungu ni wetu sote na hatujui anatuepusha na nini.....hv MT wanachoringia ni kitu gani, hv kweli mtu kuzidi mwaka mmoja mbele au miwili mbele ni kweli kwamba hawezi kupiga kozi au kuna sababu nyingine tu........mungu anasikia kilio cha wengi
Kuna mtu wilaya ya igunga alikuwa na miaka 25 + 1 day siku ya usahili. Akaambiwa amezidi umri
 
Back
Top Bottom