stepping stone man
Member
- Aug 13, 2019
- 59
- 133
Kama una mbuyu ongea nao vizuri aiseee bado hawajaanza kozi kuna walio maliza juzi wakafanyiwa sherehe sasa kuna wengine wataanza kureport kuanzia kesho nadhani kwa ajili ya kuungana na wenzao waliotanguliaWadau Nini kinaendelea JWTz mbona napo kimya sana?