Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna watu baadhi yao wameshajijua
Kujijua ni lzm hasa ukiwa wanahitaji baadhi ya taarifa zako au unamaanisha mtu kapigiwa kuwa kachaguliwa Zen na kapewa tarehe ya kuripoti?
 
Pdf wanayo kuitoa tu ndo wanakawia. Hawajui tunaisubiri kwa hamu haijalishi majina yawepo au yasiwepo miongoni.
Hahahhaa watu washajiandaa tyr Kwa ndoige au kupata sema ukijiandaa Kwa mawili huwezi kuumia sana mkeka ukitoka
 
PDF huenda wanasubiri PCCB watoe majina ili wote waende CCP Kwa pamoja. NB. Lonja tu hiyo
 
sasa pccb na polisi wanahusiana nini hata kama kozi wanafanyia sehem moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…