mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
nipo mkuu,napitaga kuchunguliaTunafanyaje chief....na miaka inasonga asee kila siku ni ndoige, mfwende sawadogo simuoni siku hz, Xmonster nae chief sjui kapata chimbo gani aseee
Wenye ronja .............Jamaa zangu wa PT! Ndani ya week hiz 2 majina yatatoka kweli?
Nafikiri mvivu na mbichi kujulikana leoWenye ronja .............
Ni kuangalia na kwingine piaTunafanyaje chief....na miaka inasonga asee kila siku ni ndoige, mfwende sawadogo simuoni siku hz, Xmonster nae chief sjui kapata chimbo gani aseee
Sangap mkuu[emoji849]
Sawa sawa chiefNi kuangalia na kwingine pia
Nakubali chiefnipo mkuu,napitaga kuchungulia
Tupunguze kujaza mapresha jamani mi nafikiri ni 11/03 usiku...Sangap mkuu[emoji849]
Hapana majina yashaenda Makao yote toka tarehe 27 bossMajina pt ndio kwanza yapo Mkoan kwa wale form 4 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulien kwanza vijana
budget ipi hiyoWanasubiria budget itoke tu
Boss we unaongelea bajeti gan bhana akat Budget ishalipwa tayari mpk Mkuu wa Opereshen na Mafunzo Ahmed Haji alimshukuru The Hon. Mosi Machi bhana em tupumzishe kdgWanasubiria budget itoke tu
Au mkeka wa PDF ni April. 😭😭😭
au ni May[emoji2357]Au mkeka wa PDF ni April. [emoji24][emoji24][emoji24]