@Choo Cha KulipiaHivi mikoani kwa form six na 4 .wanafapitishwa huku huku mikoani au hadi majina yote yatumwe makao makuu ndipo wao wachague tena watu wao
Shughuli yote kwa Mikoani inaishia huko,majina yatayoenda Makao Makuu ni kwaajili ya refference tu kuwa kuna fulani na fulani wamepita mkoa x.Hivi mikoani kwa form six na 4 .wanafapitishwa huku huku mikoani au hadi majina yote yatumwe makao makuu ndipo wao wachague tena watu wao
na wanaotuma makao makuu watafanyiwa interview huko auShughuli yote kwa Mikoani inaishia huko,majina yatayoenda Makao Makuu ni kwaajili ya refference tu kuwa kuna fulani na fulani wamepita mkoa x.
We Acha tu mkuu labda TPDF watatuokoa,[emoji26]Form six mbona wametuhasahau aise
Duh ngoja tuoneWe Acha tu mkuu labda TPDF watatuokoa,[emoji26]
Hawa wanaweza kuchukua watu wao kambini tena kwa kubagua kambi siwaamini Kabisa ndio mana hata baadhi ya kambi maservice wote wanagombea upolisi .au vigezo vikatutoa nje ya reliMm bado nipo kwenye list ya kusubiria hii sijui niite second selection ya PT,maana life linazidi kuwa tight aisee,
Sijui kuna wenzangu humu au wote mmesha amia kwenye kusubiria TPDF.?
Hujaitwa usaili wowote hadi sahiviMm bado nipo kwenye list ya kusubiria hii sijui niite second selection ya PT,maana life linazidi kuwa tight aisee,
Sijui kuna wenzangu humu au wote mmesha amia kwenye kusubiria TPDF.?
Nimetimiza kigezo cha kutopitia jkt na vingine vyote kutokana na hili tangazo la pili lililotoka tarehe 21.9.2021Hawa wanaweza kuchukua watu wao kambini tena kwa kubagua kambi siwaamini Kabisa ndio mana hata baadhi ya kambi maservice wote wanagombea upolisi .au vigezo vikatutoa nje ya reli
Bado,mwisho wa kuapply ulikua tarehe 29 last week,kwaiyo tunasikilizia next week kama Choo Cha Kulipia alivyo nambia ndio possible majina yakatokaHujaitwa usaili wowote hadi sahivi
Sawa vigezo vya polisi tofaut na jwtz lknNimetimiza kigezo cha kutopitia jkt na vingine vyote kutokana na hili tangazo la pili lililotoka tarehe 21.9.2021
Mm ni fundi sanifu brother (i hope wewe ni brother) wanataka watu kama sisi,sasa hapa ni kusali tu mambo yaende sawa.Sawa vigezo vya polisi tofaut na jwtz lkn
Vigezo gani hivyo tenaMm ni fundi sanifu brother (i hope wewe ni brother) wanataka watu kama sisi,sasa hapa ni kusali tu mambo yaende sawa.
Waliandika kwenye tangazo la kazi,pia nahis humu walituma piaVigezo gani hivyo tena
Wanachukua makambini maana form six wa mujibu wana mabogi yao maalum kila mwaka ya military scienceDuh tpdf nayo competition yake cjui huwa ipoje km tu hz ndo hv
OhooWanachukua makambini maana form six wa mujibu wana mabogi yao maalum kila mwaka ya military science