Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,180
- 2,083
Nimesikia Hadi dk hii makao makuu hawajatoa taarifa kamili kuhusu idadi ya watu wachukuliwe wangapi kila mkoa . siye form six idadi yetu ni ndogo kulingana na tangazo lilivyotoka labda kma waliongeza idadi ila 173 ndiyo wagawane mikoa yote tz basi kila mkoa hawatozidi form six watano 5 mwenye taarifa atupe