[emoji23] [emoji23] [emoji23]We jamaa bana yani hapo ni private tu unajikuta unalifahamu jeshi utafikiri waliliunda babu zako, jeshi halikaririki wewe yani kama kweli wewe ni askari ulitakiwa ulijue hilo la sivyo unakuwa huna tofauti na mananga wengine tu, wewe nimegundua unachobishania wala haukijui napoteza muda tu hapa
Shida unataka uambiwe unachopenda kusikia haya am outWe jamaa bana yani hapo ni private tu unajikuta unalifahamu jeshi utafikiri waliliunda babu zako, jeshi halikaririki wewe yani kama kweli wewe ni askari ulitakiwa ulijue hilo la sivyo unakuwa huna tofauti na mananga wengine tu, wewe nimegundua unachobishania wala haukijui napoteza muda tu hapa
Huyo mi nilisha m notice mda em rudini nyuma kdg mtaona nlimwambia sitomjibu chochote mana anajifany mjuaji afu kmbe Chicken heard📌Nimegundua we jamaa ni ubishi tu. Mbona wpo wengi sana
Nilimu elimisha mim juz mpk saa8 usiku hakunielewa anajifany analijua jeshi kumbe ye kaingia juzi watu tuna six years n something na tunajua how things goin yan nngejua ka nlkuw nabishana na Private with Empty box nisingeua MB's zangu na nails to typinWe jamaa bana yani hapo ni private tu unajikuta unalifahamu jeshi utafikiri waliliunda babu zako, jeshi halikaririki wewe yani kama kweli wewe ni askari ulitakiwa ulijue hilo la sivyo unakuwa huna tofauti na mananga wengine tu, wewe nimegundua unachobishania wala haukijui napoteza muda tu hapa
Mrushie taulo chiefNilimu elimisha mim juz mpk saa8 usiku hakunielewa anajifany analijua jeshi kumbe ye kaingia juzi watu tuna six years n something na tunajua how things goin yan nngejua ka nlkuw nabishana na Private with Empty box nisingeua MB's zangu na nails to typin
On de way...na sidhan km next week itapita trust me Linda Damu na mwili Askari Wachan na wadada piga zoez taratibu damu ifany adaptionJamani Pdf la pt n liiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiin
Nailed it NdegeMrushie taulo chief
Vita ya mujibu na kujitolea kesho inaanza saa ngap?
Sahihi kabisa,watoto wa wakulima wajiandae tu na kutunza damuUvumilivu unahitajka ukiona ukimya hvyo ujue namba ilikuw demand alot kwahyo..ikija kutoka itatoka satisfied..nakumbuka 2022 awali ilikuw iwe 3500+ but ikakaa kmya ilivyotoka shulen wakaend 4310 then wakahutim 4122 while 186 ndo walikuw eliminated walifail mafunzo kinidham
Akili Mingi sana We jamaa📌...Usimalize mafuta kumwashia kipofu Taa.Yani niambiwe ninachopenda kusikia kuhusu jeshi hebu kuwa serious, mtu hawezi kutoka tu huko akakurupuka kubishia mambo asiyoyajua kuhusu jeshi, ukiona tunabisha ujue tumepita huko au tuna mifano
Sasa shida ni kwamba mnataka hata pale mnapopotosha tusiwakosoe tukae kimya tu, mngekuwa ninyi maaskari kweli msingekuja na kauli za kusema eti mujibu hawahitajiki jeshini kisa course yao miezi mitatu na blah blah nyingine, mnasahau kwamba hata mujibu nao wanafundishwa kutumia silaha na wakimaliza course nao wanaapa na huitwa service men/girls na kupewa namba ila mnajitoa ufahamu tu
Sawa private komaa upandepande vyeo usije ukaishia kuwa corporal tu, na usije ukaongea tena huo ujinga mbele ya wakubwa zako huko jeshini, hasa hao maofficer mnaowapigia salute maana wengi ndio mujibu
Haswaa Haswaa mana naamin kabisa kitu cha MB's za kutosha kitashushwa pengine zaid ya Mwaka jana mana hpa katikat nchi imepitia matukio mengi sana hiyo ni Ishara tosha kwmb PT demands alot as much as PossibleSahihi kabisa,watoto wa wakulima wajiandae tu na kutunza damu
On de way...na sidhan km next week itapita trust me Linda Damu na mwili Askari Wachan na wadada piga zoez taratibu damu ifany adaption
Vituo vipya vmejengw vingi sana mwka huu tanga n km vitatu nnavyo vifaham tena kwa nguvu ya raia wenyew musoma napo ko It show clearly kabsa Upo uhitaji kwahyo Never give up, keep it up mtakuja hpa hpa kila mtu kutoa ushuhuda wa furaha..ntakuja ku like[emoji419]
Kuna ukweli ndani yake , imagine meja anakwambia uombe then private anawaambia msiombe .Naanza kuwaelewa wale wanaosema kwamba jeshini wengi wanaoleta ujuaji na umwamba ni hawa askari wa vyeo vya chini na ndio hawa wanaoonea raia huko mitaani na kuwapa adhabu za kijinga, ni ngumu kukuta mwanajeshi mwenye nyota analeta ujuaji na umwamba au kupotosha raia kuhusu haya mambo, humu kuna maofficer wa jeshi kibao tunawafahamu ila hatujawahi kuwaona kwenye huu uzi wakibishana shida iko kwa hawa wazee wa mbavu na shati tupu japo ni baadhi siyo wote
Naunga mkono...Tar 14 au 15 mzigo unaachiwa,kunyweni maji vijana!All the best kwa watakaochaguliwa