Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida unataka uambiwe unachopenda kusikia haya am out
 
Nilimu elimisha mim juz mpk saa8 usiku hakunielewa anajifany analijua jeshi kumbe ye kaingia juzi watu tuna six years n something na tunajua how things goin yan nngejua ka nlkuw nabishana na Private with Empty box nisingeua MB's zangu na nails to typin
 
Mrushie taulo chief
 
Kwa staili hii ya ujuaji mwingi dawa ni kuachwa hewan bila majibu yoyote maana mkionyeshwa njia hamchelewi kuharibu vifua vidogo sana kuhifadhi mambo
 
Uvumilivu unahitajka ukiona ukimya hvyo ujue namba ilikuw demand alot kwahyo..ikija kutoka itatoka satisfied..nakumbuka 2022 awali ilikuw iwe 3500+ but ikakaa kmya ilivyotoka shulen wakaend 4310 then wakahutim 4122 while 186 ndo walikuw eliminated walifail mafunzo kinidham
 
Sahihi kabisa,watoto wa wakulima wajiandae tu na kutunza damu
 
Akili Mingi sana We jamaa📌...Usimalize mafuta kumwashia kipofu Taa.
 
Sahihi kabisa,watoto wa wakulima wajiandae tu na kutunza damu
Haswaa Haswaa mana naamin kabisa kitu cha MB's za kutosha kitashushwa pengine zaid ya Mwaka jana mana hpa katikat nchi imepitia matukio mengi sana hiyo ni Ishara tosha kwmb PT demands alot as much as Possible
 
Vituo vipya vmejengw vingi sana mwka huu tanga n km vitatu nnavyo vifaham tena kwa nguvu ya raia wenyew musoma napo ko It show clearly kabsa Upo uhitaji kwahyo Never give up, keep it up mtakuja hpa hpa kila mtu kutoa ushuhuda wa furaha..ntakuja ku like📌
 
On de way...na sidhan km next week itapita trust me Linda Damu na mwili Askari Wachan na wadada piga zoez taratibu damu ifany adaption

Sawa sawa kamanda Shukrani sana, lakn kamanda next week ni uhakika ??? Maana kila mtu anasema lake na tumesubiri sana
Nitafurahi sana kama ukinitia moyo Kuwa next week n must
 

Amina daaah Shukrani sana unatupa moyo vijana ngja tutunze damu
 
Kuna ukweli ndani yake , imagine meja anakwambia uombe then private anawaambia msiombe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…