Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kaka Chief hapo juu amesema tutulie tu
Kwani wakat ukifika wakikamilisha taratibu zote za course kuanza watalitoa. PT wakitoa pdf huwa haipiti zaidi y wiki mnaenda kureport hivyo hawawez toa wakat mambo hayajakaa sawa.. hapa unakuw unajipa stress tu mwenyewe kuliwazia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…