Lj Mwambar
JF-Expert Member
- Apr 23, 2013
- 605
- 356
ha ha CCP unalala masaa yaaiozidi manne tu kwa siku.kwa miezi yote utayokaa pale.Mkuu hivi haya mambo ccp tutayakuta kweli tukibahatika kuitwa?kutolala 2 months[emoji3][emoji3]
bro militari polisi na civilian/metropolitan polis ni tofauti sana.MP anasimamia sheria za kambi ya kijeshi na sio jinai.MP awez hana mamlaka kma ya polisi wa kawaida.Unajua TPDF lina kila kitu unachokiona uraiani na majeshi mengine mfano TPDF lina Military Police kozi wanaenda miezi 3 tu na wanafanya mambo yote ya kipolisi yote yaani,iwe traffic,ukamataji,uchunguzi nk. Sasa kwanini wao waweze kufanya kozi ya miezi 3 alafu PT miezi 9 wao wana upekee gani hasa?
Jeshi lina Idara ya Usalama/military intelligence(Intelligency Officer) kama wa TISS tu na kozi ni hiyo hiyo miezi 3 wengine wanashindwa nini?
Kumbe mzigo wote utakuwa kwenye Website,asee PDF itabeba mengi ba inasubiriwa Kwa hamuuMusoma baada ya kurudisha form wameambiwa nyie mmefanikiwa kuchaguliwa kwaiyo majina yenu yatatolewa mtandaoni ..hiyo ndio ronja nilopewa na mdau huko
Acheni kuchagua jamani komaeni kwanza na hizi.. hizo TPDF Ni balaa
Umesema vyombo vyote vilivyoko chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani.Nimetia chumvi wapi Mkuu,IGP wakati anafunga kozi ya Sajenti juzi CCP alisema kozi za Askari wapya zitakuwa mwaka mmoja badala ya miezi 9.
Kua mikioa mingine zaid ya mia wamepitaWadau nimepata ronja huko musoma kumepita watu 84 ..kwa ujumla
Hujanielewa na unataka kubishana tu.Umesema vyombo vyote vilivyoko chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Alaf hapa ukaongelea IGP, sasa IGP ni mkuu wa chombo kimoja tu. Iweje useme vyombo vyote vya Mambo ya Ndani?
Hoja yangu ilikuwa hapo.
Kila chombo kina taratibu zake na miongozo yake ikiwemo muda wa mafunzo, na sio lazima vifanane.
Yanayofanyika Magereza sio lazima yawe sawa na Polisi wala Fire, wala Immigration.
Kumbe HQ ndio muamuzi wa mwishooUpdate:tanga watu leo wamerejesha form walizopewa ijumaa na wameambiwa shughuli imekwisha murudi majumbani majina yatatumwa dodoma makao makuu kisha wao ndiyo watayatuma kwenye website ya polisi tarehe haijulikani pia wameambiwa ni ruksa kuja kuangalia ubao matangazo ili kama hauna simu kubwa na au mawasiliano ili ufaham kinacho endelea
Hakika,presha inapanda presha inashuka.Mambo ni kwenye Website PDFWatoa hukumu makao makuu ... tuendelee kujuzana
Hivyo yaniKumbe HQ ndio muamuzi wa mwishoo
Watoa hukumu makao makuu ... tuendelee kujuzana
[emoji23][emoji23][emoji23]toa huyu weka huyu apo ni bahati tu hakuna namnaKazi imebaki kwa wazee wa mikasi..[emoji16]
Hahahaha noma noma.Kweli Mzee hatua hii ni Bahati[emoji23][emoji23][emoji23]toa huyu weka huyu apo ni bahati tu hakuna namna
Hiyo hatua siyo sifa wala vigezo ni bahati tu [emoji2]Hahahaha noma noma.Kweli Mzee hatua hii ni Bahati
Hakika Mzee mwenzangu.Presha inapanda presha inashukaHiyo hatua siyo sifa wala vigezo ni bahati tu [emoji2]
Hakika Mzee mwenzangu.Presha inapanda presha inashukaHiyo hatua siyo sifa wala vigezo ni bahati tu [emoji2]